Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Aslam alekhum wanajamvi.
Hivi karibuni kumezuka tetesi nyingi sana kuhusiana na serikali yetu kuchelewesha Mishahara.
Ningependa kujua ukweli wa hili jambo kupitia watumishi wa UMMA mliopo humu.
Nafikiri Tar 25 ya mwisho wa Mwezi mishahara inatakiwa iwe kwenye account za wahusika.
Hivi karibuni kumezuka tetesi nyingi sana kuhusiana na serikali yetu kuchelewesha Mishahara.
Ningependa kujua ukweli wa hili jambo kupitia watumishi wa UMMA mliopo humu.
Nafikiri Tar 25 ya mwisho wa Mwezi mishahara inatakiwa iwe kwenye account za wahusika.