Hayati ni neno la Kiarabu, likiwa na maana aliye hai....!
Waswahili tunalitumia kwa namna mbili, kwa wale wasio hai, likitamkwa kabla ya jina lina maanisha huyo mtu hana uhai.
Mfano kuna huu msemo wa Kiswahili: Si hayati si mamati, (si mzima si mgonjwa)
Neno Marehemu ni neno la kiarabu likitamkwa marhum kwa maana mrehemewa, linatokana na neno Rehma, likimaanisha Huyo mfu amerehemewa.