Sharp aquos sense 8

Sharp aquos sense 8

BrainOs

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
297
Reaction score
504
Wakuu vipi kwema,, simu tajwa hapo juu nimeona nikaipenda sana,, ina umbo dogo sio Nzito,, naombeni mnipe mazuri yake na mabaya yake
 
Wakuu vipi kwema,, simu tajwa hapo juu nimeona nikaipenda sana,, ina umbo dogo sio Nzito,, naombeni mnipe mazuri yake na mabaya yake
Mazuri ya simu za kijapan
1. Ina esim, Muhimu siku hizi sababu mitandao yetu mingi inasuport, inasaidia Sana kama Una line ambazo huzitumii Sana.

2. Micro SD na 3.5MM jack ambazo simu nyingi za siku hizi hupati.

3. Ina usb 3.2, feature ambayo simu chache Sana inayo, unaweza Tumia simu kama desktop na monitor ama TV.

Hizi feature ni Universal kwa simu nyingi za kijapan.

Pia kwa specific hio simu perfomance sio mbaya, kioo kizuri etc.

Mambo ya kujua
-Igzo display haina spea, ukivunja kioo utaanza kuhangaika, nimeona vioo feki vya LCD vimeanza kuingia kwa simu za zamani Sina uhakika kama sense 8 nayo utapata.

-processor yake ni ya kizamani kidogo, battery kubwa ila ukaaji chaji utakua wa kawaida,

-itachaji Taratibu, pengine inafika masaa 2 mpaka kujaa.

-lte band hakuna 20 na 7 utapata Tu Tigo Mjini nje ya mji utakua limited na Voda na Airtel.

Overall ni simu nzuri kama unaipata kwa bei zetu hizi around 300K kushuka.
 
Ni
Mazuri ya simu za kijapan
1. Ina esim, Muhimu siku hizi sababu mitandao yetu mingi inasuport, inasaidia Sana kama Una line ambazo huzitumii Sana.

2. Micro SD na 3.5MM jack ambazo simu nyingi za siku hizi hupati.

3. Ina usb 3.2, feature ambayo simu chache Sana inayo, unaweza Tumia simu kama desktop na monitor ama TV.

Hizi feature ni Universal kwa simu nyingi za kijapan.

Pia kwa specific hio simu perfomance sio mbaya, kioo kizuri etc.

Mambo ya kujua
-Igzo display haina spea, ukivunja kioo utaanza kuhangaika, nimeona vioo feki vya LCD vimeanza kuingia kwa simu za zamani Sina uhakika kama sense 8 nayo utapata.

-processor yake ni ya kizamani kidogo, battery kubwa ila ukaaji chaji utakua wa kawaida,

-itachaji Taratibu, pengine inafika masaa 2 mpaka kujaa.

Overall ni simu nzuri kama unaipata kwa bei zetu hizi around 300K kushuka.
320k kaka.. Vipi isue ya network kama watu wanavyodai kuwa inawez kugoma kusoma line kabisa
 
Ni

320k kaka.. Vipi isue ya network kama watu wanavyodai kuwa inawez kugoma kusoma line kabisa
Haitagoma Kusoma line ila kuna bands haina,

Kwa 4G Tanzania tunatumia band 3, 7 na 20, hio simu ina band 3 Tu haina band 7 na 20.

Ina maana Voda na Airtel haitasumbua, kwa Tigo ukiwa Mjini haitasumbua ila nje ya mji itasumbua na Halotel haitashika 4G. Kwenye 3G na 2G utapata, so angalia matumizi yako na line zako.
 
Haitagoma Kusoma line ila kuna bands haina,

Kwa 4G Tanzania tunatumia band 3, 7 na 20, hio simu ina band 3 Tu haina band 7 na 20.

Ina maana Voda na Airtel haitasumbua, kwa Tigo ukiwa Mjini haitasumbua ila nje ya mji itasumbua na Halotel haitashika 4G. Kwenye 3G na 2G utapata, so angalia matumizi yako na line zako.
Natumia TTCL na mara nyingi na switch 3g na Tigo mara chache
 
Back
Top Bottom