ShebbyDoza
Member
- Jul 29, 2015
- 29
- 7
Duuuuuh aiseeee zile kelele za Ndiyoooooo bungen hazitazidi kumi .....
Mkuu me ni mkazi wa ukonga Ukawa wana advantage kubwa ya kushinda but huyu bwana Waitara ana delay mwenyewe kupiga kampen yaan yeye anafanya kampen kivule na kitunda tu Gongo la mboto na mitaa yake hafiki na ndo kuna kura nyingi sana maeneo hayo
Lukuvi,iddi Azan,mtemvu,kawambwa,mwakyembe,mwigulu,filikunjombe,january,tibaijuka,chenge,muhongo,zungu,kwa Pinda,lizione,ole Sendeka,bashe,chato,msukuma(geita),moro Yote,kwa Mama Anna Makinda,kwa Nchimbi,simbachawene,waziri Wa Maliasili Na Utalii....!
Nyamagana Wenje na Mabula ngoma bado mbichi kabisaaa yani naona ni 50/50
Mabula hamuwezi wenje
Jimbo gani mkuu?
Kwani Anna Makinda Na Mchimbi Bado Wanagombea Ubunge??