Vipi anakutesa? Tumia pesa!


Yule binti wa askofu ndo ushamtosa mkuu Phlagiey
 
Last edited by a moderator:
likewise here nitakugomea hadi keshokutwa

Don't argue with him hun,it's obvious he's been dealing with the wrong kind of women and his approach towards love is different. True love has got nothing to do with money.
 
Yeroo

Ukitaka ustaajabu ya Musa kisha ukiyaona ya Firauni uzimie tazama kometi za wadada ndio utaona kuwa ni waongo

Watajidai eti "pesa sio kila kitu" wakati mioyo yao iko kwenye "pakee"

Hawa wadada bana ......!!


are u sure?
 
hahahaaaaa muraaaaa ulipata presha ya kupanda au kushuka?
Utofauti wenu na huyo jamaa yako ni kuwa mwenzio hakutaka ishu za kuwekeza while weye uliwekeza....
poleeeeee..... hahahaaaaa kwaiyo kuna nafasi iko wazi nikusaidie kuweka bandiko jf?
 
Don't argue with him hun,it's obvious he's been dealing with the wrong kind of women and his approach towards love is different. True love has got nothing to do with money.

watu sometimes tend to view things differently
 
hahahaaaaa muraaaaa ulipata presha ya kupanda au kushuka?
Utofauti wenu na huyo jamaa yako ni kuwa mwenzio hakutaka ishu za kuwekeza while weye uliwekeza....
poleeeeee..... hahahaaaaa kwaiyo kuna nafasi iko wazi nikusaidie kuweka bandiko jf?
Unacheka kisha unanipa pole

Unamajungu wewe mtoto!!!

Nilipata presha ya kuteleza.

Wa humu jf ndiyo..... mmmmmhhhhh!!!!!!! Nitakuja na kisa chao kesho kutwa.
 
Yeroo

Ukitaka ustaajabu ya Musa kisha ukiyaona ya Firauni uzimie tazama kometi za wadada ndio utaona kuwa ni waongo

Watajidai eti "pesa sio kila kitu" wakati mioyo yao iko kwenye "pakee"

Hawa wadada bana ......!!
Money and love are two sides of the same coin....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…