Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Yeah ni kweli,ila njia walizomfata The Board na SERIKALI zinatia shaka,kwa sababu THE BOARD hawajamshirikisha 100% na serikali ni kama ina act inamsaidiaIla Ray naye mwepesi sana..huo ukichwa wake bure kabisa..yani akitikiswa kidogo tu anaongea kila kitu!!