Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Mkuu The bold asante sana kwa muda wako unaojitolea kutupa simulizi zilizojaa maarifa bila malipo yoyote.
Kuna wadau waliwahi kusema uanze kutoa vitabu, mimi nafikiri ni wakati sasa uangalie uwezekano wa kufanya movie au tamthiliya (ingawa inaweza kuwa ngumu) maana huu utunzi ni wa kiwango cha lami.
Na mimi pia ninaomba uwe unanitag katika post zako mkuu maana nilikuwa nasubiri kule intelligence kumbe vitu vina-happen huku.
Mkuu hapo kwenye movie sishauri, sio kwa waigizaji hawa wa bongo muvi,

Ila mkuu Ze Bold hili ni ombi nakuomba utupie walau mara 2 kwa wiki ni utatuuua
Mamake sio kwa mtiririko huu aseeh, manina umepangilia matukio nikajihisi naagalia movie
 
Mkuu hapo kwenye movie sishauri, sio kwa waigizaji hawa wa bongo muvi,

Ila mkuu Ze Bold hili ni ombi nakuomba utupie walau mara 2 kwa wiki ni utatuuua
Mamake sio kwa mtiririko huu aseeh, manina umepangilia matukio nikajihisi naagalia movie
Ni kweli Mkuu! Bongo tuna changamoto ya uigizaji na production..

Hahaha! Ntajitahidi mkuu niweke walau Mara mbili kwa wiki..
 
Naona hawa uliowataja ndo wana board wa strategy 0034.
Poa tu na ubaguzi wako umefanya mpaka nakuja kula chakula kimeshachacha kwa ubinafsi wako
alafu huyo mmiliki wa vyombo vya habari kama na namjua!!!, hata yule mbunge kijana (zuberi) pia .... oohh ... yes that's him hakuna mwingine, wakuwa mwanaboard kubwa kama hilo....
shhhhhh mdomo koma,
nilishasahau masharti yako mkuu..
The bold kwa style hii nahamasika kujua maneno gani ulimtongozea huyo bibie angalau na mm niwe natumia...

cograts..
 
Naona hawa uliowataja ndo wana board wa strategy 0034.
Poa tu na ubaguzi wako umefanya mpaka nakuja kula chakula kimeshachacha kwa ubinafsi wako
alafu huyo mmiliki wa vyombo vya habari kama na namjua!!!, hata yule mbunge kijana (zuberi) pia .... oohh ... yes that's him hakuna mwingine, wakuwa mwanaboard kubwa kama hilo....
shhhhhh mdomo koma,
nilishasahau masharti yako mkuu..
The bold kwa style hii nahamasika kujua maneno gani ulimtongozea huyo bibie angalau na mm niwe natumia...

cograts..



Daaaaah nimecheka sana Mkuu! Naona umeelewa stori mpaka umepitiliza hahahahah..

Aisee maneno niliyotumia mpaka mtoto mzuri amekaa tunduni ni siri nzito kama strategy 0034

Alafu sijui kwanini nimesahau kuweka jina lako kwenye taglist mwanabodi mwenzetu johnsonmgaya! Nisamehe bure..
 
Subira ya vuta heri lakini kwangu haiko hvo, hyo katkat ya wiki pia napaona mbali, ,,,,,, yaani kama enzi zangu nimepewa miadi na manzi kesho napata mzigo ,, teh teh teh usingizi hauji!,,, na asubuhi haufiki,,,
 


Daaaaah nimecheka sana Mkuu! Naona umeelewa stori mpaka umepitiliza hahahahah..

Aisee maneno niliyotumia mpaka mtoto mzuri amekaa tunduni ni siri nzito kama strategy 0034

Alafu sijui kwanini nimesahau kuweka jina lako kwenye taglist mwanabodi mwenzetu johnsonmgaya! Nisamehe bure..
Kwani hutaki @ nifah apate wifi yake wasaidiane kukata kata vitunguu siku za sikukuu? Unataka vizuri upate wewe tu, ndo maana nakuita mbinafsi mtu wangu ila hata ukiwa mchawi kama @ mshana jr citaacha kukushobokea mpaka nikuibie hako ka talanta unakokaringia,
Nifah usinisahau siku ukienda kuhadithiwa as a bed time story nikumbushe nikupe ipod ya kurecod ila ikifika mida ya wakubwa ukumbuke kuzima
 
Kwani hutaki @ nifah apate wifi yake wasaidiane kukata kata vitunguu siku za sikukuu? Unataka vizuri upate wewe tu, ndo maana nakuita mbinafsi mtu wangu ila hata ukiwa mchawi kama @ mshana jr citaacha kukushobokea mpaka nikuibie hako ka talanta unakokaringia,
Nifah usinisahau siku ukienda kuhadithiwa as a bed time story nikumbushe nikupe ipod ya kurecod ila ikifika mida ya wakubwa ukumbuke kuzima
 
Mkuu ulinisahau Siku nyingine unikumbuke mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom