Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,749
- Thread starter
- #101
Hahahahaha! Shukrani Honey Faith..Aiseeee story nzuri sana ila hapa nilipo naogopa nahisi kuchomwa hicho kisindano kwa jinsi navyoogopa
Hahahahaha! Shukrani Honey Faith..Aiseeee story nzuri sana ila hapa nilipo naogopa nahisi kuchomwa hicho kisindano kwa jinsi navyoogopa
Shukrani sana Mkuu babu na mjukuuMkuu The bold shukran sana. Umenifanya niimalize siku yangu kwa mambo makubwa mawili..
1. Furaha yakupata story tamu sana.
2. Huzuni ya kufikiria arosto ya kukaa bila kuisoma hii story hadi j'mos.
Ila nakupongeza kwa kipaji ulicho nacho mkuu
Bila shaka Mkuu..Can you tag me pls?
Sawa Mkuu..Mkuu usinisahau kunitag japo nimesubsctribe.
Yaniiiiiii huyu kijana ataniua Wallah,sio kwa kunidatisha humu.Hapa nifah lazima azidi kudara

Yaniiiiiii huyu kijana ataniua Wallah,sio kwa kunidatisha humu.
Maana hizi simulizi zake ndizo zilizonifanya nivutiwe nae...na anazidi kuuwasha moto namna hii!
Niombeeni waungwana![]()
![]()
![]()
Punguza baby,this is too much ooooo![]()
![]()
![]()
![]()
Utakoma.!

Pole sweetheart.! Kupunguza hata mi mwenyewe siwezi, kila nikiamka najikuta nimeongeza tu kukulovePunguza baby,this is too much ooooo![]()
![]()
![]()
Vibaya hivyo ujue?
I love you anyway![]()
![]()

Awwwwww how lucky I am jamani?Pole sweetheart.! Kupunguza hata mi mwenyewe siwezi, kila nikiamka najikuta nimeongeza tu kukulove![]()

Jumamosi naomba unitagHahahahaha! Shukrani Honey Faith..
Bila shaka! Ntakutag..Jumamosi naomba unitag
anawe pia mkuu naona tumechaguliwa.
Hakika! Mungu yu mwema..anawe pia mkuu naona tumechaguliwa.
Itabidi nijitahidi niwe naweka episode mbili kwa wiki (moja katikati ya wiki na moja jumamosi)..Asante kwa hii kitu ila kwa sisi mateja wa story mpk jmos unatuacha na alosto kali sana
Jitahid mkuuItabidi nijitahidi niwe naweka episode mbili kwa wiki (moja katikati ya wiki na moja jumamosi)..
Naona wengi wametoa maoni kama haya kuwa jumamosi ni mbali..