Teh teh teh sasa nikifumba macho si nitakosa yoote?Fumba macho ili usiumie roho
Wivu siiinaaa,, ilaa .. Roho inauma .........

Hzo au au ndo unazingua mkuu katikati ya wiki si jumatano?Mkuu najitahidi niweke episode moja kesho jumatano au alhamisi..

Shukrani..Asante kwa stories nzuri
Itakuwa vizuri sana mkuuMkuu najitahidi niweke episode moja kesho jumatano au alhamisi..
Mmebadilishana avatar na mleta hadithi??Eeeeeh bwana eeeh? What a story?
Ni kama nilikuwa naangalia movie vile.
Mtiririko wa story ulio na maelezo ya kina kwa kila hatua umenivutia sana.
Siwezi kusubiri jumamosi...damn sipendi pressure za story kama hizi basi tu sina jinsi safari hii nimepatikana.
Story nzuri,kama kawaida hukosei honey
![]()
![]()
![]()
Babuuuuuu hahahaaaa ndio tumebadilishanaMmebadilishana avatar na mleta hadithi??

Basi mje pande hii niwafungishe ndoa. Sitaki mfanye zinaa wajukuu zangu wapendwa.Babuuuuuu hahahaaaa ndio tumebadilishana![]()
Sawa babuBasi mje pande hii niwafungishe ndoa. Sitaki mfanye zinaa wajukuu zangu wapendwa.

Basi mje pande hii niwafungishe ndoa. Sitaki mfanye zinaa wajukuu zangu wapendwa.
Na kwako pia mpenzi... japo umenipotezea mi bado nakupenda tu.Babu heri ya mwaka mpya....
Kwa wiki nitajitahidi niweke Episode mbili tu! Si zaidi za hapo..mkuu lini tena nilitegemea walau kwa jinsi uzi ulivofika nitakupa episode hata 10 kumbe iko moja tu dah
Shukrani sana Blaki WomaniThe bold hongera sana kwa kipaji. nilikuwa mpenzi sana wa vitabu vya kina Ben, Elvis, Hammie nk baada ya hapo watunzi mahiri wakaaanza kupote kwa mwonekano huo siku za mbele nategemea kusoma vitabu vyako.
Aaahh babu aliyempoteza mwenzake nani mabibi wengi hadi huwakumbuki.....nakusubiri tukalr mbuziNa kwako pia mpenzi... japo umenipotezea mi bado nakupenda tu.
Mungu akujalie uweze kufikia ndoto yako.