Tena ni mbali sana, yaani kwa upande wangu imebidi nikumbushie enzi za shule, nimeorodhesha siku kwenye karatasi na ninapunguza siku moja moja.Itabidi nijitahidi niwe naweka episode mbili kwa wiki (moja katikati ya wiki na moja jumamosi)..
Naona wengi wametoa maoni kama haya kuwa jumamosi ni mbali..

.