Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Hatimae jumapili hiyooo masaa yanahesabika tuipate epsode #3
 
Mkuu The Bold your creativity is beyond human nature. Umeninasa for sure

Nitapataje simulizi zako zingine???
 
Sawa Mkuu! Tayari nimeongeza jina lako
Nami ikiwa hewa Episode 3 nitagi kwenye post hiyo. Pia moderators wanaweza kutengeze ID moja yenye mkusanyiko wa members wote wenye interest na story hii Mfano waID hiyo ni The Bold followers. Kiasi the bold akirusha Episode, ana tag wote kwa kuweka hiyo ID ya The Bold followers na wote tunaenda moja kwa moja kwenye episode kuliko njia hii ya sasa anayotumia! Niwazo langu la kusaidia tunakuwa karibu na story kwa haraka zaidi.
 
Sikuwahi kuhisi kama mashabiki wa Madale wanaweza kuandika kitu kizuri namna hii.

Nilikuwa nasoma zile makala zako za Ulaya,America na Asia nikawa nahisi zile hazina ufundi wowote zaidi ya kubadili lugha tu na kucheza maneno kutoka kwenye vyanzo vyako vya kiingereza.

Sikuwahi kukubali kwa kiwango kikubwa namna hii.

Ila kwa hii kitu nasema RASMI nimekuelewa mkuu..wewe ni mtunzi Hodari ongeza juhudi na bidii naweza kuja kukuweka kwenye list yangu pembeni ya Hussein Issa Tuwa,Beka Mfaume,George Mosenya na Sultan Tamba watunzi wangu mahiri wa kizazi hiki.

niffah
 
Basi mie niweke tuu kamati ya ufundi the board
Kimatamshi inafanana nikajua ndio A.K.A yako
Hahahahah.! Be careful of what you wish for.. Unaweza kuja kujuta kuwa mwana kamati wa The Board
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom