WhatsApp ndio iko faster na kule tumeshaimaliza heheheNaona hii story ipo slow sana huku sjui wap ipo faster sio kwa utamu huu Mkuu yaan inapofka pazur ww unakata sjui dah lkn poa Mkuu
Mbona kimya mwanadome?Nifah divine,ninao mrejesho wa mgeni kutoka koromije
Amani ilitawala kwa kipindi chote alichokuepo,alianza kuniuliza kama ni mmoja wa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii nikamwambia sio mpenzi kiviile,hapo niliogopa nisije nikaulizwa naelewa nini kuhusu bashiteMbona kimya mwanadome?
.
Amani ilitawala kwa kipindi chote alichokuepo,alianza kuniuliza kama ni mmoja wa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii nikamwambia sio mpenzi kiviile,hapo niliogopa nisije nikaulizwa naelewa nini kuhusu bashite![]()
.
Nilicho jifunza nikua koromije haikunyimwa vyotee,warembo wanaojua mambo ya adamu hawa wapo.kapicha amekataa nisimpige kisa anamuogopa kakake bashite aliye rudi mjini kwa kunyatiaaa![]()
Una vituko sana mkuu.Ahhh hahaa kaka yake sasa hv confidence imeisha kabsa ahhha haah![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Una vituko sana mkuu.
Kiasi nakufananisha na MSAGA SUMU.
Kwahiyo mrembo kesharudi kwao Koromije au bado yupo town?
Kuwa makini mkuu maana kakake karudi japo anajikaza kiume.
Whatsapp kule n 5G plus chitchat, karibusanaNaona hii story ipo slow sana huku sjui wap ipo faster sio kwa utamu huu Mkuu yaan inapofka pazur ww unakata sjui dah lkn poa Mkuu
Duuh.msa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Una vituko sana mkuu.
Kiasi nakufananisha na MSAGA SUMU.
Kwahiyo mrembo kesharudi kwao Koromije au bado yupo town?
Kuwa makini mkuu maana kakake karudi japo anajikaza kiume.
.Kwanini my son?Ahhh hahaa kaka yake sasa hv confidence imeisha kabsa ahhha haah

Duuh.msa
ga sumu tenaa![]()
![]()
.
Yupoo badoo,natamani kumuuliza maana ye neno bashite ila nashindwa.na haka kamvua kaliko anza leo itakua poa kakiendelea wiki nzima mfululizo,maana mgeni nitapata sababu za kutomtembeza hapa mjini.
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Ningekuwa mimi ndio wewe angesharudi Koromije maana nisingeweza kuvumilia kutokumuuliza kuhusu Bashite.Mahaba niue yanifanya niuchunee,na zingatia japo ni kuku wa kienyeji tactics zake za mambo ya chumbani si habaa![]()
![]()
![]()
![]()
Ningekuwa mimi ndio wewe angesharudi Koromije maana nisingeweza kuvumilia kutokumuuliza kuhusu Bashite.
Mahaba niue yanifanya niuchunee,na zingatia japo ni kuku wa kienyeji tactics zake za mambo ya chumbani si habaa![]()
![]()
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Endelea kuinjoi na mtoto wa Koromije mkuu.Mdogomdogo mkuu,maana hamna namna hatuwezi kukosa vyotee,vyeti tukose na hata dada zake tuwakose pia!!!,![]()
![]()
![]()
![]()
Endelea kuinjoi na mtoto wa Koromije mkuu.
Mdogomdogo mkuu,maana hamna namna hatuwezi kukosa vyotee,vyeti tukose na hata dada zake tuwakose pia!!!,![]()
![]()
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa bhana?
Hivi shigongo bado anaendeleaga na zile story?Aiseeeee hii riwaya niliisoma nikiwa std 6,nilikuwa nalia kila siku hadi kitabu kilipoisha.
Dah Shigongo pale alituliza kichwa bwana.