Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,437
Hahahaha salimia mrombooAaahh babu aliyempoteza mwenzake nani mabibi wengi hadi huwakumbuki.....nakusubiri tukalr mbuzi
Hahahaha salimia mrombooAaahh babu aliyempoteza mwenzake nani mabibi wengi hadi huwakumbuki.....nakusubiri tukalr mbuzi
Kichwa cha mbuzi na ile naniii vinakungojaHahahaha salimia mromboo

Amen! Shukrani..Mungu akujalie uweze kufikia ndoto yako.
Stay tuned! Jumatano au Alhamisi new episode inadondoka..Jumamosi mbali mkuu
Hiyo nanii ndo naitaka zaidi...Kichwa cha mbuzi na ile naniii vinakungoja![]()
Mi nasubiria mahari yako ili niifanye ile kazi ya kuhalalisha mkutano wa vikojoleo vyenu na yule jamaa ulomkubali kwa hiari yako mwenyewe.![]()
![]()
![]()
![]()
babu Asprin ktk ubora wako

Siku ile uliicha sijui hangover ilizidi haya masai anaanda... uje na bibi wa kwanzaHiyo nanii ndo naitaka zaidi...
Siku ya mahari usinisahau mzee mwenzanguMi nasubiria mahari yako ili niifanye ile kazi ya kuhalalisha mkutano wa vikojoleo vyenu na yule jamaa ulomkubali kwa hiari yako mwenyewe.
Ataleta babu,ndio anajipanga maana ameshaanza kuogopa kisa mjukuu wako cheupe anahisi atatozwa pesa na ng'ombe nyingi.Mi nasubiria mahari yako ili niifanye ile kazi ya kuhalalisha mkutano wa vikojoleo vyenu na yule jamaa ulomkubali kwa hiari yako mwenyewe.
Mkuu The bold saidia aisee hata kete moja tu jumamosi mbali .
Aroooosto itatuua.
![]()
![]()
![]()
![]()
Mwambie kwetu tumelogewa pesa... kama mahari itamshinda ntakuoa mimi mwenyewe. Liwalo na liwe..Ataleta babu,ndio anajipanga maana ameshaanza kuogopa kisa mjukuu wako cheupe anahisi atatozwa pesa na ng'ombe nyingi.
Kuliko nikusahau wewe, niko tayari kusahau kuvaa boxer....Siku ya mahari usinisahau mzee mwenzangu
Kabla ya Jumamosi, alhamisi nitaweka episode moja..J'mos itatoka sa ngapi Mkuu?
Mwambie kwetu tumelogewa pesa... kama mahari itamshinda ntakuoa mimi mwenyewe. Liwalo na liwe..
Mimi si mtu wa kispotispoti eti...
