Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Hii EPISODE INARUHUSIWA KUWA QUOTED HATA MARA SITA!
WE quote tu!
2 times, a day
Mpk j5
Na zote utakuta likes, mpya
Hahahaha hivi ticha upogo....mic you sana......utamu kolea watu wanakuaga wakali sana uki quote uzi mrefu lakini kwa hiyo episode naona kuna wanaorudia hadi jtano hahaha hii kali
 
Hahahahahaha.! Nakujua mama..

Usiombe white Masai apandwe na hasira.. Utatamani ardhi ipasuke hahahahahaha

Ila mwenzako napendagaaaaaa ukinuna! kidomo chako kinavyokaaga sasa hahahahahahaha utadhani yule usalama bodigadi wa sizonje hahahahaahaha
Hahahahahaaaaa kumbe ndio maana siku hizi umezidisha kunichokoza eeeeh?
Sasa hivi nitabadili namna ya kukasirika
 
Shemeji hiyo sentesi ya kwanza nikikujibu mwezi mzima huu jambazi kuu atanyimwa chance ya kumaliza hasira zake.! Kila ikifika mida pendwa ya jambazi kuu kuonyesha utemi nitakuwa najibiwa "nenda huko huko kwa shemeji yako uliye mjibu I love you too" hahahahahahaha
Mkuu, naona umenjibu kwa style ya nukuu 😛
 
Mnet.!! Nikisikiaga M-net huwa naashum Huyo mtu ametokea Morogoro au amekulia huko.. Miaka ya 90 wakazi wa Moro waliinjoi sana Mnet bure bure miaka ile..
kama ulijua mkuu... ..M-net kupitia sua....ilikuwa wali nazi..... ..mji mpya na kilakala flat pamenihusu sana.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom