Vipanga wa ngazi ya chuo ni feki vipanga wa ngazi ya sekondari ni halisi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,415
21,110
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wale wanafunzi wanaongoza ngazi ya sekondari hasa kidato cha tano au cha sita ni vipanga halisi ambao wanapatikana kwa kujua vitu vingi na kuwa serious kwenye masomo

Hii ni tofauti na ngazi ya chuo ni vice versa kidogo ,kwa ngazi ya chuo wale villaza ndio wanaonekana vipanga na wale vipanga wanaonekana vipanga

Hii ni kwa sababu vipanga wengi hawapendi kujihusisha na mambo ya chabo lakini villazaa wengi wanaingia na chabo kwenye mitihani wengine wanaingia mpaka na simu na ku gugo maswali yanayowashinda pia bila kusahau kugerezea kutoka kwa wanafunzi wengine hivyo basi matokeo yakitoka hawa villazaa wanapata alama nzuri kwa kigezo cha kupiga chabo lakini vipanga wanaanguka kwa kuwa wengi wanajiamini saaana na majibi yao na hawapendi mambo ya chabo hivyo matokeo yakitoka wanajikuta wameanguka kwa kuwa villaza wanafanya mtihani kwa kushirikiana lakini kipanga wa ukweli nafanya mtihani yeye kama yeye

Pia villazaa huwa wanahakikisha Coursework inasoma vizuri kwa kuwa wanajua wao hawako vizuri kwenye tests hii ni tofauti na vipanga ambao wao hawabase saana na coursework na wanategemea sana tests hivyo test ikiwa ngumu ndio basi tena



Pia mitihani ya chuo mingi lekchara anasema atakapo toa na mara kwa mara hawezi kutoa beyond na aliposema hivyo basi wale villaza watasoma saana hiyo area kuliko nyingine na mwisho wa siku wanatoka na alama nzuri maana villaza wengi wanasomea pepa sio ujuzi lakini kwa wale vipanga wao huwa hawaridhiki huwa wana penda kwenda extra miles hivyo basi hujikuta wanasoma mambo mengi ambayo hayapo kwenye pepa



Kwa ngazi ya sekondari inabidi usome sana kwa kuwa walimu wanapenda kwenda deep saaana hivyo basi wale vipanga halisi huwa wanapeta saana ila wale villaza wanaumia saana
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wale wanafunzi wanaongoza ngazi ya sekondari hasa kidato cha tano au cha sita ni vipanga halisi ambao wanapatikana kwa kujua vitu vingi na kuwa serious kwenye masomo

Hii ni tofauti na ngazi ya chuo ni vice versa kidogo ,kwa ngazi ya chuo wale villaza ndio wanaonekana vipanga na wale vipanga wanaonekana vipanga

Hii ni kwa sababu vipanga wengi hawapendi kujihusisha na mambo ya chabo lakini villazaa wengi wanaingia na chabo kwenye mitihani wengine wanaingia mpaka na simu na ku gugo maswali yanayowashinda pia bila kusahau kugerezea kutoka kwa wanafunzi wengine hivyo basi matokeo yakitoka hawa villazaa wanapata alama nzuri kwa kigezo cha kupiga chabo lakini vipanga wanaanguka kwa kuwa wengi wanajiamini saaana na majibi yao na hawapendi mambo ya chabo hivyo matokeo yakitoka wanajikuta wameanguka kwa kuwa villaza wanafanya mtihani kwa kushirikiana lakini kipanga wa ukweli nafanya mtihani yeye kama yeye

Pia villazaa huwa wanahakikisha Coursework inasoma vizuri kwa kuwa wanajua wao hawako vizuri kwenye tests hii ni tofauti na vipanga ambao wao hawabase saana na coursework na wanategemea sana tests hivyo test ikiwa ngumu ndio basi tena



Pia mitihani ya chuo mingi lekchara anasema atakapo toa na mara kwa mara hawezi kutoa beyond na aliposema hivyo basi wale villaza watasoma saana hiyo area kuliko nyingine na mwisho wa siku wanatoka na alama nzuri maana villaza wengi wanasomea pepa sio ujuzi lakini kwa wale vipanga wao huwa hawaridhiki huwa wana penda kwenda extra miles hivyo basi hujikuta wanasoma mambo mengi ambayo hayapo kwenye pepa



Kwa ngazi ya sekondari inabidi usome sana kwa kuwa walimu wanapenda kwenda deep saaana hivyo basi wale vipanga halisi huwa wanapeta saana ila wale villaza wanaumia saana
100%correct nilishawah semaa hilii secondary ndo husema kwel kupima uwezo wa mtu na sio vyuo
 
Ndio hivyo mkuu wanavyuo wengi hawasomi seriously wengi ni zima moto tofauti na sekondari hasa Combination kama PCB na PGM
Chuo labda kuwa na common exams kama nacte system ndo watu watasoma wapate ujuz vzr ilaa hii ya mwl wa somo ndo final?makanjanja wengi wanapata first class kwa marks za mezan au kutumia vinondo .ndo maana naheshimu sana mtu aliyefaulu vzr o level na A level na sio chuo
 
Umenena vyema nakumbuka wakati niko 1st year Mwalimu alitupa kama notes za kurefresh masaa mawili kabla ya test sasa kwa kuwa mimi nilishasoma sana usiku kucha kwa kutumia hata sourse mbalimbali nika ignore ile shirt list yake ya maswali ilivyokuja paper maswali yaleyale ya kwenye ile shortlist notes aliotupa ndio aliyoyatoa sasa mimi nikajibu tofauti na zile notes zake basi Lecture akaniita na kunipiga mikwara mizito kwamba kwanini nimejibu out of his shortlist notes alizotupa
 
Umenena vyema nakumbuka wakati niko 1st year Mwalimu alitupa kama notes za kurefresh masaa mawili kabla ya test sasa kwa kuwa mimi nilishasoma sana usiku kucha kwa kutumia hata sourse mbalimbali nika ignore ile shirt list yake ya maswali ilivyokuja paper maswali yaleyale ya kwenye ile shortlist notes aliotupa ndio aliyoyatoa sasa mimi nikajibu tofauti na zile notes zake basi Lecture akaniita na kunipiga mikwara mizito kwamba kwanini nimejibu out of his shortlist notes alizotupa
mkuu chuo kufaulu ni ujanja ujanja na sio uwezo binafsi
 
Umenena vyema nakumbuka wakati niko 1st year Mwalimu alitupa kama notes za kurefresh masaa mawili kabla ya test sasa kwa kuwa mimi nilishasoma sana usiku kucha kwa kutumia hata sourse mbalimbali nika ignore ile shirt list yake ya maswali ilivyokuja paper maswali yaleyale ya kwenye ile shortlist notes aliotupa ndio aliyoyatoa sasa mimi nikajibu tofauti na zile notes zake basi Lecture akaniita na kunipiga mikwara mizito kwamba kwanini nimejibu out of his shortlist notes alizotupa
hicho ndicho kinachosababisha vijana wengi wenye uelewa mpana kushindwa masomo ya chuo maana walimu wanakulazimisha ujibu yale waliyokariri wao...
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wale wanafunzi wanaongoza ngazi ya sekondari hasa kidato cha tano au cha sita ni vipanga halisi ambao wanapatikana kwa kujua vitu vingi na kuwa serious kwenye masomo

Hii ni tofauti na ngazi ya chuo ni vice versa kidogo ,kwa ngazi ya chuo wale villaza ndio wanaonekana vipanga na wale vipanga wanaonekana vipanga

Hii ni kwa sababu vipanga wengi hawapendi kujihusisha na mambo ya chabo lakini villazaa wengi wanaingia na chabo kwenye mitihani wengine wanaingia mpaka na simu na ku gugo maswali yanayowashinda pia bila kusahau kugerezea kutoka kwa wanafunzi wengine hivyo basi matokeo yakitoka hawa villazaa wanapata alama nzuri kwa kigezo cha kupiga chabo lakini vipanga wanaanguka kwa kuwa wengi wanajiamini saaana na majibi yao na hawapendi mambo ya chabo hivyo matokeo yakitoka wanajikuta wameanguka kwa kuwa villaza wanafanya mtihani kwa kushirikiana lakini kipanga wa ukweli nafanya mtihani yeye kama yeye

Pia villazaa huwa wanahakikisha Coursework inasoma vizuri kwa kuwa wanajua wao hawako vizuri kwenye tests hii ni tofauti na vipanga ambao wao hawabase saana na coursework na wanategemea sana tests hivyo test ikiwa ngumu ndio basi tena



Pia mitihani ya chuo mingi lekchara anasema atakapo toa na mara kwa mara hawezi kutoa beyond na aliposema hivyo basi wale villaza watasoma saana hiyo area kuliko nyingine na mwisho wa siku wanatoka na alama nzuri maana villaza wengi wanasomea pepa sio ujuzi lakini kwa wale vipanga wao huwa hawaridhiki huwa wana penda kwenda extra miles hivyo basi hujikuta wanasoma mambo mengi ambayo hayapo kwenye pepa



Kwa ngazi ya sekondari inabidi usome sana kwa kuwa walimu wanapenda kwenda deep saaana hivyo basi wale vipanga halisi huwa wanapeta saana ila wale villaza wanaumia saana
Haya mambo haya apply kwenye Medical Schools kama hujui hujui tu na trust me usiposoma kufeli LAZIMA.....

Huku hakuna sijui course work wala assingment.
 
1.Mtu kufaulu ni attitude yake zaidi.
Maana kama ni kuiba pepa hata o level na highschool watoto wanavujishiwa sana tu.
2. Kwa mujibu wa tafiti za hakielimu; Maswali mengi yanayoulizwa kwenye pepa za o level ndo yaleyale ya mention, list, what is....etc. Yaani yanaangukia level ya knowledge and understanding kwenye ile Bloom's Taxonomy ( walimu wanaielewa zaidi ) na maswali karibia yote ni Objective ili kurahisisha usahihishaji. Hii ni tofauti na vyuo makini kama UD ambapo maswali mengi yanakuhitaji uchambue, uunganishe, uthaminishe na kuapply dhana zilizomo kwenye nadharia mbalimbali. So unahitaji akili nyingi zaidi kufaulu chuo kuliko level za chini.
 
Back
Top Bottom