Vipanga wa ngazi ya chuo ni feki vipanga wa ngazi ya sekondari ni halisi

hii ni kweli kabisa mkuu! sema wengine wanakuwa wakali kote kote. Ila wale wenye div 3 za o level kutamba chuo sio umwamba kabisa
 
elimu ya chuo kikuu ilivyo unaweza ukawa umesoma combination ya HKL na ukenda kusomea ualimu wa hesabu na ukafaulu
elimu ya chuo ni elimu ya hovyo kuliko zote TZ
Na ni ya hovyo hovyo kwel kwel ndo maana tunapata ma first class hata utendaji wa hovyo au walimu nawakufunz kingereza chenyewe cha hovyo hovyo sabb walimeza tyuu wakatapikaa na hii ya lectures kuwa final basii wenginee wavivu anafundisha topic mbili tyuu anasepa na ninyi mnakomaa kusoma hapo hapo sabb hawez toa kwingine ambako hajafundishaa.ilaaa ingekuwa kuna necta system ya vyuo vyote mtu anasoma mpaka amalize module zote
 
usitake kuaminisha watu ujinga system ya chuo ndoishakuwa hivyo sasa wewe umeshindwa kwenda na system inavyokwenda uferi uje kusingizia wanaofauru ni vilaza uwo ni ujinga arafu kutokana na maelezo yako unasema “kupigania upate cozwork nisababu ya kuogopa mtiani” kwaiyo wale vipanga wote awajali cozwork nandomana wanaferi kwa iyo fact uliyoitoa apo ndoumezihirisha kabisa ukiraza wako kumbe unafanya makusudi kupata cozwork ndogo arafu unakuja kuongea ujinga kwamba waliofauru ni viraza usikaririshe watu ujinga

arafu wewe ndoyule ulioandika kwenye post yako iliyopita kwamba una supp tano katika course tano na ukakiri kwamba ulikuwa unafanya assignment zako bora liende nandomana ukapata cozwork ndogo ndio sababu ya wewe kupata supp zote izo sasa aku unakuja kukaririsha watu ujinga ili nao waferi

NB:jifunze kuendana na system inavyotaka autopata shida katika maisha
 
usitake kuaminisha watu ujinga system ya chuo ndoishakuwa hivyo sasa wewe umeshindwa kwenda na system inavyokwenda uferi uje kusingizia wanaofauru ni vilaza uwo ni ujinga arafu kutokana na maelezo yako unasema “kupigania upate cozwork nisababu ya kuogopa mtiani” kwaiyo wale vipanga wote awajali cozwork nandomana wanaferi kwa iyo fact uliyoitoa apo ndoumezihirisha kabisa ukiraza wako kumbe unafanya makusudi kupata cozwork ndogo arafu unakuja kuongea ujinga kwamba waliofauru ni viraza usikaririshe watu ujinga

arafu wewe ndoyule ulioandika kwenye post yako iliyopita kwamba una supp tano katika course tano na ukakiri kwamba ulikuwa unafanya assignment zako bora liende nandomana ukapata cozwork ndogo ndio sababu ya wewe kupata supp zote izo sasa aku unakuja kukaririsha watu ujinga ili nao waferi

NB:jifunze kuendana na system inavyotaka autopata shida katika maisha
Nenda kachanganyike na form one wenzako huku hakukifai hii mada ni kubwa sana kwako kijana usiiimbilie suti kabla hujavaa nepi

Kajifunze kuandika kwanza


Arafu badala ya halafu

Ufauru badala ya ufaulu
Kwaiyo badala ya kwa hiyo


Dogo ukiona wakubwa wako wanajadili mambo utulie kama maji ya mtungini
 
Huu ni ukweli usiopingika kuwa wale wanafunzi wanaongoza ngazi ya sekondari hasa kidato cha tano au cha sita ni vipanga halisi ambao wanapatikana kwa kujua vitu vingi na kuwa serious kwenye masomo

Hii ni tofauti na ngazi ya chuo ni vice versa kidogo ,kwa ngazi ya chuo wale villaza ndio wanaonekana vipanga na wale vipanga wanaonekana vipanga

Hii ni kwa sababu vipanga wengi hawapendi kujihusisha na mambo ya chabo lakini villazaa wengi wanaingia na chabo kwenye mitihani wengine wanaingia mpaka na simu na ku gugo maswali yanayowashinda pia bila kusahau kugerezea kutoka kwa wanafunzi wengine hivyo basi matokeo yakitoka hawa villazaa wanapata alama nzuri kwa kigezo cha kupiga chabo lakini vipanga wanaanguka kwa kuwa wengi wanajiamini saaana na majibi yao na hawapendi mambo ya chabo hivyo matokeo yakitoka wanajikuta wameanguka kwa kuwa villaza wanafanya mtihani kwa kushirikiana lakini kipanga wa ukweli nafanya mtihani yeye kama yeye

Pia villazaa huwa wanahakikisha Coursework inasoma vizuri kwa kuwa wanajua wao hawako vizuri kwenye tests hii ni tofauti na vipanga ambao wao hawabase saana na coursework na wanategemea sana tests hivyo test ikiwa ngumu ndio basi tena



Pia mitihani ya chuo mingi lekchara anasema atakapo toa na mara kwa mara hawezi kutoa beyond na aliposema hivyo basi wale villaza watasoma saana hiyo area kuliko nyingine na mwisho wa siku wanatoka na alama nzuri maana villaza wengi wanasomea pepa sio ujuzi lakini kwa wale vipanga wao huwa hawaridhiki huwa wana penda kwenda extra miles hivyo basi hujikuta wanasoma mambo mengi ambayo hayapo kwenye pepa



Kwa ngazi ya sekondari inabidi usome sana kwa kuwa walimu wanapenda kwenda deep saaana hivyo basi wale vipanga halisi huwa wanapeta saana ila wale villaza wanaumia saana
Tuna misemo yetu,Div one unaiacha getin so njoo tutafute maisha na co GPA



Ova
 
wee jamàA hadi Leo uko chuoni hujui techniques ya kupata first class?? hakna cha kpanga wala kilaza chuo n techniques kutoka vzur,maana unaweza ukawa deep sana prof akigundua uko deep anaanza kuplan kukuprove wrong.wee tembea kwenye target udeep tafta badae.Ndio maana mtu anamaliza bachelor ya IT hajui hata web designing,sio kosa lake ni mtaaala.
 
wee jamàA hadi Leo uko chuoni hujui techniques ya kupata first class?? hakna cha kpanga wala kilaza chuo n techniques kutoka vzur,maana unaweza ukawa deep sana prof akigundua uko deep anaanza kuplan kukuprove wrong.wee tembea kwenye target udeep tafta badae.Ndio maana mtu anamaliza bachelor ya IT hajui hata web designing,sio kosa lake ni mtaaala.
Agiza fursana nakuja kulipa
 
Acha kudharau walimu wako

kweli kabisa mwaka wa kwanza niliponea chupuchupu kwa kujifanya Konka nikapata supplementary za kumwaga nilivyorudi mwaka wa pili nikasoma bora liende tu
kwa kweli TZ hatuwezi kufika kokote kwa hii elimu ya hovyo tuliokuwa nayo
 
Back
Top Bottom