Kajizi ka baba akeView attachment 1673883
Walimu shuleni wanapata tabu kumbe matatizo yalianzia mbali.
🤣🤣 Hapo ametumia akili kuchukua anachokitaka....akiwa na utambuzi ndipo atakapoelezwa kuwa MATUMIZI ya akili yanatakiwa yasivuke kwa "asivyoruhusiwa ama visivyo vyake".View attachment 1673883
Walimu shuleni wanapata tabu kumbe matatizo yalianzia mbali.
Mtoto akijifunza wizi wa mboga mapemaaaa, ningependa kuona mrejesho wake akiwa na miaka 20 au zaidi kama atakuwa hajauliwa na wakereketwa.View attachment 1673883
Walimu shuleni wanapata tabu kumbe matatizo yalianzia mbali.
Akifika 18 ataungama na kuanza upyaMjomba akishafikia 18 si atakupata tabu hebu mkanye aache mara moja mkunje angali mbichi
Akifika 18 ataungama na kuanza upya
kwani vibonge hua hawahisi njaaHuyo mtoto sio mdokozi Kwa mwenye uelewa Kwa sababu yupo nyakati ambazo huwezi ukasema anaiba au anadokoa Ila naona ana genes alizolithi kutoka Kwa wazazi ambazo zimekaa kitafutaji.
Anaonekana akikua hasubiri kusaidiwa ili apate mkate wake Ila anafata sehemu anajua utapatikana hapa Kwa maana ya kwamba anaona mama na Baba yake humchukulia chakula wapi, sasa ana njaa aende wapi.
Anaonekana mtafutaji Kwa mazingira yoyote yale Ila kitendo cha kusogeza ndoo na kupanda kwenye meza yenye umbali huo ni ishara kua anauthubutu mkubwa bila kujali atashukaje.
Pili hata akifanikiwa haridhiki sio Kwa huo unene halafu ananjaaa .
Kwani kwa umri huo anajua wizi ni Nini?!!🤣Mtoto akijifunza wizi wa mboga mapemaaaa, ningependa kuona mrejesho wake akiwa na miaka 20 au zaidi kama atakuwa hajauliwa na wakereketwa.
Huyo hakunjiki tabia kaizoa kwa Mama yake toka akiwa na umri sifuri Hadi miezi 6.UKIONA HIVYO UJUE MAMA ALIDOKOA AKIWA MJAMZITOMjomba akishafikia 18 si atakupata tabu hebu mkanye aache mara moja mkunje angali mbichi
Yeye anajuwa anakula tu lakini wizi unaanzia hapa. Akija kuzoea kujichukulia wakati watu wamelala au wako nje ndipo utamu unaanzia hapa. Akiona tu watu wako nje au wameenda kulala, naye anaingia ndani taratibu ili asikamatwe na kujichotea mboga. Mwisho wa siku anakuwa gwiji wa kunyatia mboga za watu mtaani ikiwa kwao wamepika mboga za majani.Kwani kwa umri huo anajua wizi ni Nini?!!🤣