The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
Kuanzia Marekani mpaka hapa TZ inaonekana
umaarufu 'huharibu' watoto vibaya mno....
ndo maana ni kawaida kusikia watu maarufu wakikataza
watoto wao kujishughulisha na sanaa au michezo au kazi za kuwapa umaarufu wakati
bado wadoogo....
sasa wakati kila mtu anazungumza ya Kanumba na Lulu nilikuwa sijui kuwa
Lulu kumbe alikuwa maarufu toka mtoto kwa kutangaza ITV...
na nikikumbuka watoto wengine weengi walioshindwa kusoma
na kuingia kwenye matatizo kwa kuwa maarufu toka utotoni....
nauliza swali hili kwa wana jf....mtoto wako kama ana kipaji
cha kutangaza tv au kuigiza filam au kuimba nyimbo.....utamruhusu
'aoneshe kipaji chake'?
wewe swala la madhara ya umaarufu kwa watoto na hata teenagers umalichukuliaje?????
umaarufu 'huharibu' watoto vibaya mno....
ndo maana ni kawaida kusikia watu maarufu wakikataza
watoto wao kujishughulisha na sanaa au michezo au kazi za kuwapa umaarufu wakati
bado wadoogo....
sasa wakati kila mtu anazungumza ya Kanumba na Lulu nilikuwa sijui kuwa
Lulu kumbe alikuwa maarufu toka mtoto kwa kutangaza ITV...
na nikikumbuka watoto wengine weengi walioshindwa kusoma
na kuingia kwenye matatizo kwa kuwa maarufu toka utotoni....
nauliza swali hili kwa wana jf....mtoto wako kama ana kipaji
cha kutangaza tv au kuigiza filam au kuimba nyimbo.....utamruhusu
'aoneshe kipaji chake'?
wewe swala la madhara ya umaarufu kwa watoto na hata teenagers umalichukuliaje?????