lazima aende shule,kipaji kama anacho najua hakiwezi kufa,bora asome kama mwana fa ili cku mambo yakimuendea kombo kwenye tasnia yake,bado ataweza kuyaendesha maisha yake.ukimtazama lulu,mr blue umaarufu umewaponza shule hawakumaliza matatizomatatizo kila kukicha daaah kwangu ni no no no kwa kweli