Hawa viongozi wenye mali nyingi huwa hawana fikra na wenzao katika maslahi ya maisha kwa ujumla hivi utakuta vijiji hakuna maji safi hakuna hospitali bora hakuna barabara nzuri hakuna umeme lakini yeye huwa hana habari na hayo yote nakama akiamua kufanya msaada wala huwa hafilisiki halafu wananchi wanamchagua tena huko ni kuto kujua haki zenu hao muwakatae pia wasikushawishini hao hata kidogo