mr.kifather
Member
- Feb 10, 2012
- 83
- 16
jamani kile kizazi cha viongoz wa wananchi na viongoz wanaojali maslhi ya taifa kama "J.k nyerere na moringe sokoine (tanz), Kwame Nkurumah (Ghana),Madiba (SA),Paul Kagame (Rwanda)" hakipo tena au bado hakijakomaa au watanzania hatujakipa nafasi kwa kuogopa mabadiliko..????