neemaanjela
Member
- Jul 11, 2015
- 22
- 4
Naamini kabisa watatoka salama salimini kwa uwezo wa mwenyezi mungu .walianza na mungu na watamaliza na mungu .vivaa ukawaaa .
Baada ya majadiliano ya leo, kuanzia asubuhi, viongozi wakuu wa UKAWA watazungumza na waandishi wa habari jioni hii.
Vyombo vya habari tayari vimeshaalikwa kufika hapa Colosseum Hotel.
Tutawajuza kitakachozungumzwa. Tunajua Watanzania wanasubiri mwanga wa Tanzania ijayo chini ya uongozi wa UKAWA. Wanajua kupitia viongozi wa UKAWA, nchi itakuwa kwenye mikono salama kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa Tanzania yetu.
Makene
Ukawa imebaki kuwa ukiwa.
Unajua wewe ni mtu mkubwa sana, sasa kutudanganya tunakuwa hatukuelewi. Si bora ukae kimya tu? halafu itakuwa chadema wanataka kila kitu wawe wao. Kama ukawa ikivurugika, najua ni chadema ndo chanzo. hivyo binafsi sitawaelewa kabisa
Baada ya majadiliano ya leo, kuanzia asubuhi, viongozi wakuu wa UKAWA watazungumza na waandishi wa habari jioni hii.
Vyombo vya habari tayari vimeshaalikwa kufika hapa Colosseum Hotel.
Tutawajuza kitakachozungumzwa. Tunajua Watanzania wanasubiri mwanga wa Tanzania ijayo chini ya uongozi wa UKAWA. Wanajua kupitia viongozi wa UKAWA, nchi itakuwa kwenye mikono salama kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa Tanzania yetu.
Makene
Hivi jioni huwa ni saa ngapi vile?
Immediate baada ya Kula daku.
Lowassa ameshaungana na Ukawa... ushindi kama kawa... subirieni taarifa muhimu sana hiyo.. CCM wanakufa kufa huko...!!
Uzi umebadilika tena ghafla daa!!
Baada ya majadiliano ya leo, kuanzia asubuhi, viongozi wakuu wa UKAWA watazungumza na waandishi wa habari jioni hii.
Vyombo vya habari tayari vimeshaalikwa kufika hapa Colosseum Hotel.
Tutawajuza kitakachozungumzwa. Tunajua Watanzania wanasubiri mwanga wa Tanzania ijayo chini ya uongozi wa UKAWA. Wanajua kupitia viongozi wa UKAWA, nchi itakuwa kwenye mikono salama kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa Tanzania yetu.
Makene