Viongozi wa Yanga wanamihemko

Viongozi wa Yanga wanamihemko

Yanga wanafahamu yote yatakayo kwenda kutokea na wako tayari ku katwa point 15 na kushushwa Daraja.
Mashabiki wa yanga wanaamini timu Yao Ina uwezo kuliko timu nyingine yoyote NBC league lakini ukweli ndo hiki kinachoendelea mitandaoni. Sijaona point ya msingi ya viongozi wa yanga kususia mechi, kwasababu mpaka hili vuguvugu linatokea yanga ni miongoni mwa taasisi iliyotajwa kuhusika na zile vurugu za ule usiku wa kuamkia derby.

Waliotakiwa kugoma kabisa kucheza mechi mpaka Sasa hivi ilibidi wawe ni Simba, lakini Simba walisusa kucheza mechi ile siku kwasababu Kuna sababu za kimsingi za kikanuni zilikiukwa, na bodi ya ligi walithibitisha Hilo, Yanga wao walikuja na point gani, ya kupinga shauri la Simba?

Hawa watu hakuna wanachofanya zaidi ya kuwajaza ujinga mashabiki zao.
 
Na Yanga hawana sababu na hawawezi kufanywa chochote.
Yanga sababu wanazoainisha, za kususia derby wanasema ni upendeleo na uonevu, lakini hawajaueleza umma ni uonevu na upendeleo kivipi, na ni kanuni gani zimevunjwa ambazo zinapendelea upande mmoja.

Mashabiki wa yanga wengi, ujinga umeziba fahamu zao, wanaungana na migomo ya viongozi wao, wasijue wanachokitetea, ni kama ng'ombe aendavyo machinjioni asijue Kama ni hasara Kwa roho yake mwenyewe.

Bora hata sikuwa shabiki wa hili timu.
 
Yanga sababu wanazoainisha, za kususia derby wanasema ni upendeleo na uonevu, lakini hawajaueleza umma ni uonevu na upendeleo kivipi, na ni kanuni gani zimevunjwa ambazo zinapendelea upande mmoja.

Mashabiki wa yanga wengi, ujinga umeziba fahamu zao, wanaungana na migomo ya viongozi wao, wasijue wanachokitetea, ni kama ng'ombe aendavyo machinjioni asijue Kama ni hasara Kwa roho yake mwenyewe.

Bora hata sikuwa shabiki wa hili timu.
Wewe na hao mashabiki wa yanga nyote hamchekani.
 
Tilia dawa iwaingie hata mimi naunga mkono uamuzi wa viongozi wangu kutocheza dabi acha tushuke daraja nyie endeleeni na ujinga wenu kupitia TFF ikiwezekana tuamie Zanzibar tucheze huko.
Nahis Burundi pataifaa zaidi timu yetu
 
Yanga wenye akili wapo wangapi?
 
Yanga wapo sahihi bora wasicheze mechi ili kukomesha ujinga wa kuvuruga mechi kwa kutoa taarifa saa sita mchana mechi ya jioni na hakuna tatizo lolote la usalama au kitu muhimu kinachoweza kufanya mechi isichezwe watu wanatoka mbali kwa ajili ya mechi TFF wanafanya wanavyotaka siku ingine hawatatangaza hayo mambo yao iwe kwa Simba au Yanga.
Kama Yanga wanagomea hata maamuzi ya CAS sasa walienda huko CAS kufanya nini kama hawakuwa tayari kukubali maamuzi ya CAS?

VV
 
Mashabiki wa yanga wanaamini timu Yao Ina uwezo kuliko timu nyingine yoyote NBC league lakini ukweli ndo hiki kinachoendelea mitandaoni. Sijaona point ya msingi ya viongozi wa yanga kususia mechi, kwasababu mpaka hili vuguvugu linatokea yanga ni miongoni mwa taasisi iliyotajwa kuhusika na zile vurugu za ule usiku wa kuamkia derby.

Waliotakiwa kugoma kabisa kucheza mechi mpaka Sasa hivi ilibidi wawe ni Simba, lakini Simba walisusa kucheza mechi ile siku kwasababu Kuna sababu za kimsingi za kikanuni zilikiukwa, na bodi ya ligi walithibitisha Hilo, Yanga wao walikuja na point gani, ya kupinga shauri la Simba?

Hawa watu hakuna wanachofanya zaidi ya kuwajaza ujinga mashabiki zao.
Unaisingizia Yanga, mbona kwenye sababu ya kuahirisha mechi Yanga haikutajwa? Mambo ya kulindana tu, Hawa TFF na bodi ya ligi ilipaswa wawajibike.
 
As long as simba ananufaika hawa mbwa wanaoitwa yanga Acha wafe zao hainihusu kumermae...
 
Bora tushushwe daraja au tukose ubingwa ila uongozi wa tff utoke au uamue kuwa fair kwenye uongozi wao ,kinachoendelea na marefa wao ni bora timu nyingine zisicheze waipe ubingwa timu wanayoitaka wao ,
Hii yote ni kumogopa kumkaba Mpanzu.
 
Hawa vyura watake wasitake watacheza hata kwa viboko pumbavu sana wanataka kuchezea akili zetu.

Wanatuletea masuala ya kike kuzira zira
 
Yanga inaenda kukatwa point 15 au kushushwa daraja kabisa kitu ambacho ndio kibaya zaidi n cha aibu kuliko aibu ya kucheza Derby.
Sio Tanzania, ukitaka kuamini mapacha ni kila kitu hapa Tz, tena mwaka wa uchaguzi huu.
 
Mashabiki wa yanga wanaamini timu Yao Ina uwezo kuliko timu nyingine yoyote NBC league lakini ukweli ndo hiki kinachoendelea mitandaoni. Sijaona point ya msingi ya viongozi wa yanga kususia mechi, kwasababu mpaka hili vuguvugu linatokea yanga ni miongoni mwa taasisi iliyotajwa kuhusika na zile vurugu za ule usiku wa kuamkia derby.

Waliotakiwa kugoma kabisa kucheza mechi mpaka Sasa hivi ilibidi wawe ni Simba, lakini Simba walisusa kucheza mechi ile siku kwasababu Kuna sababu za kimsingi za kikanuni zilikiukwa, na bodi ya ligi walithibitisha Hilo, Yanga wao walikuja na point gani, ya kupinga shauri la Simba?

Hawa watu hakuna wanachofanya zaidi ya kuwajaza ujinga mashabiki zao.
Maelezo mengi pumba tupu
 
Yanga sababu wanazoainisha, za kususia derby wanasema ni upendeleo na uonevu, lakini hawajaueleza umma ni uonevu na upendeleo kivipi, na ni kanuni gani zimevunjwa ambazo zinapendelea upande mmoja.

Mashabiki wa yanga wengi, ujinga umeziba fahamu zao, wanaungana na migomo ya viongozi wao, wasijue wanachokitetea, ni kama ng'ombe aendavyo machinjioni asijue Kama ni hasara Kwa roho yake mwenyewe.

Bora hata sikuwa shabiki wa hili timu.
Kama mpaka Leo hujajua sababu ya Yanga kutaka wapewe point 3 na magoli 3 basi Rage anastahili kujengewa mnara. Maana ni u mbumbumbu ulio tukuka.
 
Back
Top Bottom