Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 4,596
- 7,903
NYIE ni wajinga sana!!... Bodi ya ligi imeshatoa maamzi dhidi ya uchunguzi wake iliyodai kuwa kulikuwa na ishara ya uvunjifua wa amani, viashiria vya rushwa?.
Yaani kabla ya kutoa taarifa iloyosababisha kuvurugika kwq mchezo wanakuja na taarifa ya ratiba MPYA?.
Kwahiyo Bodi ya ligi wanabaliki walichofanya mabaunsa wa Yanga kwamba sio kosa?, Wanabaliki pasipo kufuata taratibu timu inawezakujitangazia kususia mechi?.
Yaani kabla ya kutoa taarifa iloyosababisha kuvurugika kwq mchezo wanakuja na taarifa ya ratiba MPYA?.
Kwahiyo Bodi ya ligi wanabaliki walichofanya mabaunsa wa Yanga kwamba sio kosa?, Wanabaliki pasipo kufuata taratibu timu inawezakujitangazia kususia mechi?.