Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 2,608
- 5,487
Leo tumeona taarifa ya Yanga kusimamia msimamo wao wa kutocheza mechi ya Derby.
CAS baada ya kuwarudisha kwenye mamlaka za ndani wao walipaswa kufanya hivyo licha ya wao kujua hukumu haitawabeba. Baada ya kutoka kwenye mamlaka za ndani wangekataa rufaa ili kesi iweze kusikilizwa CAS.
Wao wamechukua maamuzi ya kugoma kabisa bila sababu za msingi na kama zipo sababu hizo haikutakiwa ziishie kwenye page na maneno tu.
Yanga inaenda kukatwa point 15 au kushushwa daraja kabisa kitu ambacho ndio kibaya zaidi n cha aibu kuliko aibu ya kucheza Derby.
Viongozi mtawaambia nini mashabiki timu ikikosa ubingwa kwa sababu ya maamuzi yenu, je mmejiandaa vvyema kukabili adhabu kutoka kwa wenye mamlaka?
Angalizo: Mashabiki wanaunga mkono msimamo ila mbeleni watawageuka tena kwa kuwapeleka kwenye giza totoro.
CAS baada ya kuwarudisha kwenye mamlaka za ndani wao walipaswa kufanya hivyo licha ya wao kujua hukumu haitawabeba. Baada ya kutoka kwenye mamlaka za ndani wangekataa rufaa ili kesi iweze kusikilizwa CAS.
Wao wamechukua maamuzi ya kugoma kabisa bila sababu za msingi na kama zipo sababu hizo haikutakiwa ziishie kwenye page na maneno tu.
Yanga inaenda kukatwa point 15 au kushushwa daraja kabisa kitu ambacho ndio kibaya zaidi n cha aibu kuliko aibu ya kucheza Derby.
Viongozi mtawaambia nini mashabiki timu ikikosa ubingwa kwa sababu ya maamuzi yenu, je mmejiandaa vvyema kukabili adhabu kutoka kwa wenye mamlaka?
Angalizo: Mashabiki wanaunga mkono msimamo ila mbeleni watawageuka tena kwa kuwapeleka kwenye giza totoro.