komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,646
heheee...napiga maziwa daily...unafikiria hku ni kule ukitaka kusherehekea siku ya kuzaliwa uite wana singeli unalipia kodi...mjengo wako unaulipia kodi...kiwanja chako unakilipia kodi...bado pumzi tu sasa...haki ya nani..magu nyorosha hao jamaa..sai wanajutia kukuchagua ila kimoyomoyo tu...we unadhani kenya hatuijui,huko kwenu even chai ya maziwa unailipia kodi,what a ****
hebu nitajie hyo sehemu please?