Viongozi wa Serkali za mitaa/vijiji mtakaochaguliwa kipaumbele kiwe kupanda miti na kutunza mazingira

Kawe Alumni

JF-Expert Member
Mar 20, 2019
8,685
11,988
Mnapoelekea kuchaguliwa na Wananchi ili kumsaidia Rais wetu Magufuli kazi katika kuwatumikia Wananchi
mwezi huu, muweke kipaumbele cha kupanda miti na kutunza mazingira

Tunataka Tanzania ya kijani

Miaka ya hivi karibuni mazingira yamebadilika mno joto limezidi sana Tanzania,mvua zimepungua hii ni kutokana wa ufyekaji hovyo wa misitu bila mpangilio

Waziri Jafo na Waziri wa mazingira wapeni semina Viongozi watakaochaguliwa umuhimu wa kupanda miti ili tuirudishe Tanzania ile ya Zamani, mvua zilikuwa zikinyesha mara kwa mara

Mfano kila mtaa Au kijini kikitenga hekari kumi au mia moja za km hifadhi ya miti

Pia kwa ngazi ya familia,kila familia iwe na mpango wa kuotesha miti walau 20 kila mwaka
Itungwe sheria ya kusimamia hili jambo

Vijana Wengi wanakimbilia mjini na kuacha mashamba huko vijijini kutokana na mazingira ya kuishi kutokuwa Rafiki katika shughuli za kilimo hii ni kutokana na kutokuwapo kwa mvua za uhakika kila mwaka

Viongozi wenye dhamana hili ni jambo kubwa sana mkilisimamia vizuri tunaomba mlitekeleze ila Nchi yetu nzuri ya Tanzania isigeuke kuwa jangwa

Niwatakie Jumapili yenye Utulivu wazalendo wenzangu
 
Mimi Nadhani Mazingira Ndio uhai wa viumbe hai unapoanzia viongozi watakaochaguliwa wazingatie hili
 
Ndugu kuwa na adabu, kumwita mtu mzima mwehu ni matusi makubwa

Uchaguzi watu wamejitoa Kwanini unishambulie
Wewe ni mwehu, wachaguliwe na wananchi katika uchaguzi UPI? Kampe Polepole ushauri huu.
 
Mimi Nadhani Mazingira Ndio uhai wa viumbe hai unapoanzia viongozi watakaochaguliwa wazingatie hili

Kwa mara ya kwanza pamoja na kwamba ww ni kiazi nakuunga mkono kiroho safi. Hii hali ya uharibifu wa mazingira ni tatizo kubwa. Halafu sio kuipanda tu, na kuhakikisha kuwa wanaitunza ikue. Nimepanda miti zaidi ya 1,000, na nimekuwa nikitoa miti kwa ndugu na jamaa wapande, tatizo ninaloliona ni watu kuhakikisha miti niliyowapa wanaitunza mpaka ikue. Huwa ninashangaa mtu anakaa mpaka anakua mtu mzima hajawahi kupanda hata mti mmoja! Hao jamaa hata kama watakuwa wameingia madarakani kwa kunajisi box la kura, lakini kwenye hili pekee nitawaunga mkono kwa asilimia mia moja.
 
Tuheshimiane mkuu Mimi sio kiazi tukosoane kwa hoja sio personality

Nakupongeza kuwa mdau mkubwa wa mazingira mkuu
Mimi binafsi kila mwaka najutahidi walau kwa mwaka kustawisha miti 30 na kuihudumia nimewachochea na majirani kupenda miti wengi wameanza kupanda

Hii tabia ikipandikizwa kwa kila family Tanzania itakuwa ya kijani
Kwa mara ya kwanza pamoja na kwamba ww ni kiazi nakuunga mkono kiroho safi. Hii hali ya uharibifu wa mazingira ni tatizo kubwa. Halafu sio kuipanda tu, na kuhakikisha kuwa wanaitunza ikue. Nimepanda miti zaidi ya 1,000, na nimekuwa nikitoa miti kwa ndugu na jamaa wapande, tatizo ninaloliona ni watu kuhakikisha miti niliyowapa wanaitunza mpaka ikue. Huwa ninashangaa mtu anakaa mpaka anakua mtu mzima hajawahi kupanda hata mti mmoja! Hao jamaa hata kama watakuwa wameingia madarakani kwa kunajisi box la kura, lakini kwenye hili pekee nitawaunga mkono kwa asilimia mia moja.
 
Yes wanapochaguliwa na mtendaji wa kata aliyepewa maelekezo ya kuharibu form za wapinzani.
tapatalk_1573245729949.jpeg
 
Mnapoelekea kuchaguliwa na Wananchi ili kumsaidia Rais wetu Magufuli kazi katika kuwatumikia Wananchi
mwezi huu, muweke kipaumbele cha kupanda miti na kutunza mazingira

Tunataka Tanzania ya kijani

Miaka ya hivi karibuni mazingira yamebadilika mno joto limezidi sana Tanzania,mvua zimepungua hii ni kutokana wa ufyekaji hovyo wa misitu bila mpangilio

Waziri Jafo na Waziri wa mazingira wapeni semina Viongozi watakaochaguliwa umuhimu wa kupanda miti ili tuirudishe Tanzania ile ya Zamani, mvua zilikuwa zikinyesha mara kwa mara

Mfano kila mtaa Au kijini kikitenga hekari kumi au mia moja za km hifadhi ya miti

Pia kwa ngazi ya familia,kila familia iwe na mpango wa kuotesha miti walau 20 kila mwaka
Itungwe sheria ya kusimamia hili jambo

Vijana Wengi wanakimbilia mjini na kuacha mashamba huko vijijini kutokana na mazingira ya kuishi kutokuwa Rafiki katika shughuli za kilimo hii ni kutokana na kutokuwapo kwa mvua za uhakika kila mwaka

Viongozi wenye dhamana hili ni jambo kubwa sana mkilisimamia vizuri tunaomba mlitekeleze ila Nchi yetu nzuri ya Tanzania isigeuke kuwa jangwa

Niwatakie Jumapili yenye Utulivu wazalendo wenzangu
Kamshauri kwanza mzee wako Magufuli anayekata miti milioni 8 ili ajenge bwawa ambalo nalo linategemea miti kujiendesha. Mnashindwa kuwashauri hao mnaowaona wakifanya mambo ya hovyo unakuja kutuletea ujinga humu.
 
Tuheshimiane mkuu Mimi sio kiazi tukosoane kwa hoja sio personality

Nakupongeza kuwa mdau mkubwa wa mazingira mkuu
Mimi binafsi kila mwaka najutahidi walau kwa mwaka kustawisha miti 30 na kuihudumia nimewachochea na majirani kupenda miti wengi wameanza kupanda

Hii tabia ikipandikizwa kwa kila family Tanzania itakuwa ya kijani

Wangalau kwenye hii mada ya mazingira tutafanana, na kwa kuheshimu hilo nakuomba samahani kwa kukuita kiazi. Lakini kwenye yale mengine hakuna rangi nitaacha kukuonyesha. Tatizo kubwa ninaloliona kwenye upandaji miti sio kuipanda, bali kuitunza mpaka ikue, hapa ndio ilipo changamoto ya msingi. Kama nguvu kubwa inaweza kuelekezwa huko tutafanya nchi kuwa na uoto wa kutosha. Nashauri hii hoja yako ifanyiwe kazi, na serikali iwekeze fedha nyingi kwenye eneo hili. Baadhi ya vitu vichache nilivyoiunga mkono serikali hii ni hatua ya kuzuia mifuko ya plastiki, kwenye hili nilitoa support ya moja kwa moja, kwani mimi na mazingira ni damu damu.
 
Mkuu upo sahihi,serikali indae tafiti,vitalu miche na wananchi wagawiwe wakati muafaka.Kisha viongozi mitaa na vijiji wasimamie idadi na ufanisi.
 
Imekatwa miti milion nane imepandwa zaidi ya miti milion nane eneo hilo hilo

Tatizo lako ni nini mkuu?

Hutaki Nchi iongeze uzalishaji wa umeme wa bei nafuu?
Kamshauri kwanza mzee wako Magufuli anayekata miti milioni 8 ili ajenge bwawa ambalo nalo linategemea miti kujiendesha. Mnashindwa kuwashauri hao mnaowaona wakifanya mambo ya hovyo unakuja kutuletea ujinga humu.
 
Mnapoelekea kuchaguliwa na Wananchi ili kumsaidia Rais wetu Magufuli kazi katika kuwatumikia Wananchi
mwezi huu, muweke kipaumbele cha kupanda miti na kutunza mazingira

Tunataka Tanzania ya kijani

Miaka ya hivi karibuni mazingira yamebadilika mno joto limezidi sana Tanzania,mvua zimepungua hii ni kutokana wa ufyekaji hovyo wa misitu bila mpangilio

Waziri Jafo na Waziri wa mazingira wapeni semina Viongozi watakaochaguliwa umuhimu wa kupanda miti ili tuirudishe Tanzania ile ya Zamani, mvua zilikuwa zikinyesha mara kwa mara

Mfano kila mtaa Au kijini kikitenga hekari kumi au mia moja za km hifadhi ya miti

Pia kwa ngazi ya familia,kila familia iwe na mpango wa kuotesha miti walau 20 kila mwaka
Itungwe sheria ya kusimamia hili jambo

Vijana Wengi wanakimbilia mjini na kuacha mashamba huko vijijini kutokana na mazingira ya kuishi kutokuwa Rafiki katika shughuli za kilimo hii ni kutokana na kutokuwapo kwa mvua za uhakika kila mwaka

Viongozi wenye dhamana hili ni jambo kubwa sana mkilisimamia vizuri tunaomba mlitekeleze ila Nchi yetu nzuri ya Tanzania isigeuke kuwa jangwa

Niwatakie Jumapili yenye Utulivu wazalendo wenzangu
Mnataka wewe na nani??
 
Fact Mkuu, hili la utafiti ni muhimu mno

Kuna mikoa inapanda miti isiyoendana na Ardhi ya sehemu husika

Hii inasababisha miti mingi isikue na kupelekea kunyauka
Mkuu upo sahihi,serikali indae tafiti,vitalu miche na wananchi wagawiwe wakati muafaka.Kisha viongozi mitaa na vijiji wasimamie idadi na ufanisi.
 
Amin Mkuu umeonyesha akili yako hapa ile ya kubebewa na dada halima mdee umeiweka pembeni

Mazingira ni uhai Mkuu

Tukipanda miti hata ile kiwango cha furaha kitaongezeka

Hili waziri jafo na Waziri wa mazingira wanatakiwa watoe kipaumbele

Mpango mkakati uwekwe kwa ajili kuboresha mfuko wa mazingira kama vile mfuko wa mawasiliano kwa wote ulivyosaidia Wananchi wa vijijini

Tuyatunze mazingira tusiwe wabinafsi ili turithishe kizazi kijacho
Wangalau kwenye hii mada ya mazingira tutafanana, na kwa kuheshimu hilo nakuomba samahani kwa kukuita kiazi. Lakini kwenye yale mengine hakuna rangi nitaacha kukuonyesha. Tatizo kubwa ninaloliona kwenye upandaji miti sio kuipanda, bali kuitunza mpaka ikue, hapa ndio ilipo changamoto ya msingi. Kama nguvu kubwa inaweza kuelekezwa huko tutafanya nchi kuwa na uoto wa kutosha. Nashauri hii hoja yako ifanyiwe kazi, na serikali iwekeze fedha nyingi kwenye eneo hili. Baadhi ya vitu vichache nilivyoiunga mkono serikali hii ni hatua ya kuzuia mifuko ya plastiki, kwenye hili nilitoa support ya moja kwa moja, kwani mimi na mazingira ni damu damu.
 
Watakaochaguliwa kwa uchaguzi upi??ccm simeshapita bila kupinga mbona hamtaki tena ushindi wa kishindo🙄🏃🏃
 
Back
Top Bottom