Viongozi wa Serikali mjitafakari

Totozee

Member
Oct 15, 2018
98
69
Siku hizi mjini Kuna kasumba ya viongozi wetu wanasiasa, kazi Yao ni kukera wananchi. Nasikitiswa na hivyo vitendo wanavyovifanya.

Kuna serikali ya awamu ya Nne, Tano na Sita. Asilimia 98 ya watendaji ni wale wale, yaani ndio waliotenda hizo awamu zote. Lakini kinachosikitishwa ni kuwa madudu Yao waliyoyatenda wanajificha na kusema ni awamu fulani, na mazuri ya awamu zilizopita wanaipongeza awamu iliyopo.

1. Hivi karibuni serikali imepokea ndege Kadhaa ambazo ziliagizwa awamu ya Tano, lakini Chawa wanaisifu awamu ya Sita.

2. Kuna hospitali ya Kanda Kule Mtwara, Awamu ya Tano ilianza ujenzi na iliacha ujenzi ukiwa asilimia 95.3 lakini siku ya ufunguzi wote waliisifu awamu ya Sita.

Nashangaa mabaya yote mnamtaja Marehemu, badilikeni basi. Mnatia aibu sana
 
Hili limama halijawahi anzisha mradi wenye mashiko! Miradi yake yoote ni ya kusadikika! Eti nimejenga zahanati na vyumba vya madarasa wakati kila mahali hiyo miradi hipo!
Hebu nimpe mradi mmoja tu uliowazi ambao anaweza kuufanya watu wakauona! ENDELEZA UPANUZI WA BARABARA KUTOKA KIBAHA HADI CHALINZE tuone! Foleni ya magari inaanzia kibaha alipoishia Magufuli! Hata hili linamshinda!
 
Hili limama halijawahi anzisha mradi wenye mashiko! Miradi yake yoote ni ya kusadikika! Eti nimejenga zahanati na vyumba vya madarasa wakati kila mahali hiyo miradi hipo!
Hebu nimpe mradi mmoja tu uliowazi ambao anaweza kuufanya watu wakauona! ENDELEZA UPANUZI WA BARABARA KUTOKA KIBAHA HADI CHALINZE tuone! Foleni ya magari inaanzia kibaha alipoishia Magufuli! Hata hili linamshinda!
Na wahuni wanataka aitwe Mama wa Taifa
 
Back
Top Bottom