Viongozi wa dini hasa wa kiislam hii inawahusu

Viongozi wa dini hasa wa kiislam hii inawahusu

This is...

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5,184
Reaction score
5,426
Tafadhali sikilizeni hii.

Na huu ndio uhalisia wa maisha mtaani Tanzania yote.

Nb: Viongozi wa Kiislam jitafakarini sana.

Kama ni bahasha na uchawa basi mnajidhalilisha.

 
Hata mimi ndivyo ninavyofahamu.

Nilikuja kuyakuta haya mabifu ya dini hapa JF.

Wakati mtaani walimbwende tunaokula nao raha za dunia ni wa dini tofauti na yangu na hakuna tatizo lolote.

Hata kwa Maza wako unaenda nae kusalimia na hakuna tatizo lolote
 
Mimi ni katika hiki kizazi kinachoitwa "generation z" ila Dini yangu kwanza. Dini yangu ni bora zaidi kwangu kuliko hata roho yangu mwenyewe. Allah Aniongoze mimi na huyo binti na Waislam wote katika njia iliyonyooka, Aamiin.

Ninamuomba Allah Anifishe katika Uislam na Sunnah.
 
Hiki ndicho wanapaswa wakisikie viongozi wote wa dini hasa wale wajinga wajinga wenye lengo la kutufarakanisha
 
Mimi ni katika hiki kizazi kinachoitwa "generation z" ila Dini yangu kwanza. Dini yangu ni bora zaidi kwangu kuliko hata roho yangu mwenyewe. Allah Aniongoze mimi na huyo binti na Waislam wote katika njia iliyonyooka, Aamiin.

Ninamuomba Allah Anifishe katika Uislam na Sunnah.
Dini yangu ni bora hata zaidi kwangu kuliko hata roho yangu mwenyewe.

Nb: Haya ndiyo mafundisho ya madrasa?
 
Mimi ni katika hiki kizazi kinachoitwa "generation z" ila Dini yangu kwanza. Dini yangu ni bora zaidi kwangu kuliko hata roho yangu mwenyewe. Allah Aniongoze mimi na huyo binti na Waislam wote katika njia iliyonyooka, Aamiin.

Ninamuomba Allah Anifishe katika Uislam na Sunnah.
Kwa uelewa wangu wa imani...hakuna imani inayojiona ni bora kuliko ingine.."Agreeing to disagree" kama mkristo niliielewa sana kwenye issue sensitive kama imani!

After all hatuchagui jirani au rafiki kwa misingi hiyo!

Adding up na uelewa wa leo, tunaunganishwa na majirani na marafiki kwa misingi!

Upendo,kujali, haki, kujali,kufaana na miingiliano mingi ya kijamii ya kila siku, this was such a stupid move!
Madahara kweli ni makubwa ila kwa misingi ya Taifa, dini na ukabila Mungu ametusaidia zisiwe juu zaidi ya utu!

Rest in Peace Mwalimu na wenzako akina Kawawa na wengine mlioona haya na kuamua kujenga Taifa lisilo na dini wala kabila!
 
Back
Top Bottom