Atakuwa kafura kusikia hiimambo moto ya keshoBetina atasema Nini kuhusu ukosefu wa sukari, kupanda kwa nauli na umeme usio na uhakika?
Chadema kazieni hizo kero tatu mpaka watie akili.
Kweli, yupo johnthebaptist na ChoiceVariableSio Lucas mwashambwa peke yake aliyeingia uvunguni. Mbeya Kuna chawa wa ovyo Kama wanne hivi.
Kwanza wanaandamana lini? Na Je wakiandamana Huwa wanablovk Barabara au? Maana Nina ratiba zangu Mikoani wiki hiiKweli, yupo johnthebaptist na ChoiceVariable
Hautakuwa Mbeya tarehe 20?Kwanza wanaandamana lini? Na Je wakiandamana Huwa wanablovk Barabara au? Maana Nina ratiba zangu Mikoani wiki hii
Ikiwa hutokuwapo Mbeya tarh 20 kesho,Kwanza wanaandamana lini? Na Je wakiandamana Huwa wanablovk Barabara au? Maana Nina ratiba zangu Mikoani wiki hii
Kama kesho ndio mnaandamana basi ratiba zangu ziko vizuri.Ikiwa hutokuwapo Mbeya tarh 20 kesho,
Ondoka na wenzio waliofichama uvunguni, John na Lucas!!😀😀🔥
Bado chawa wanalamba masufuria Monduli....yaaani ndo mmepiga kambi...VIONGOZI WA CHADEMA MUWE NA UTU NA HURUMA, JE MNAONA FURAHA GANI KUWASWAGA WENZENU?, POSHO MNAGAWANA NINYI WENYEWE, FEDHA CHUNGU MZIMA ETI, MKO KAZINI, HAO WANAOSWAGWA HATA SODA HAKUNA,WALA HAMUWAFIKIRII HATA KIDOGO MUWE NA HURUMA! View attachment 2908797
Katika shairi la PASUA UWAPE UKWELI......... BWANA MBOWE ALIWAPASUA HASWA PALE MONDULI JUZIView attachment 2908061
Ndio kama mlivyosikia , Tayari viongozi wa Chadema Wameanza kuingia Mbeya , ukiangalia Mbeya leo unaona kabisa kwamba kuna shangwe fulani zimeanza mitaani , watu ni wengi kiasi kuliko Jumapili nyingine .
Tayari Jeshi la polisi limeahidi kulinda Maandamano ya Chadema na wananchi na kwamba hali ya usalama itaimarishwa .
RATIBA KAMILI ya ruti za maandamano hayo hii hapa
Mbalizi - Ruanda Nzovwe
Uyole - Ruanda Nzovwe
Isanga - Ruanda Nzovwe
Sisi watoto wenu wa Chadema tumerudi nyumbani , tunawaomba sana Wazee wetu mtupokee na mtuunge mkono , Ndaga Fijo
Afya yako ya akili ina shida wewe. je sio kweli kwamba kuna watu walienda Monduli kuzika na walilipwa posho (ALLOWANCES)VIONGOZI WA CHADEMA MUWE NA UTU NA HURUMA, JE MNAONA FURAHA GANI KUWASWAGA WENZENU?, POSHO MNAGAWANA NINYI WENYEWE, FEDHA CHUNGU MZIMA ETI, MKO KAZINI, HAO WANAOSWAGWA HATA SODA HAKUNA,WALA HAMUWAFIKIRII HATA KIDOGO MUWE NA HURUMA! View attachment 2908797
Nishushe luwanda nzovweee kwa lowasaMkutano wa hadhara viwanja vya Rwanda Nzovwe
FAKEVIONGOZI WA CHADEMA MUWE NA UTU NA HURUMA, JE MNAONA FURAHA GANI KUWASWAGA WENZENU?, POSHO MNAGAWANA NINYI WENYEWE, FEDHA CHUNGU MZIMA ETI, MKO KAZINI, HAO WANAOSWAGWA HATA SODA HAKUNA,WALA HAMUWAFIKIRII HATA KIDOGO MUWE NA HURUMA! View attachment 2908797
Tofautisha msiba, huku kuswagwa kama ng'ombe huku posho wakipeana wengine, inafahamu Lissu au mbowe au lema, hawaendi Mbeya bila fungu la posho za kutosha, get know this, small nyumbu! 😁Afya yako ya akili ina shida wewe. je sio kweli kwamba kuna watu walienda Monduli kuzika na walilipwa posho (ALLOWANCES)
JE WOTE WALIOKUWEPO PALE MONDULI WALILIPWA POSHO?
Ha ha ha, dah, nendeni mkaswagwe, bana, Nyerere aliwahi kusema, ukiona mtu mzima anapendwa kubebwa na wababaji wapo, na wameridhia basi Acha wambebe, maana ndio akili zao zinavyoona!Bado chawa wanalamba masufuria Monduli....yaaani ndo mmepiga kambi...
Acheni familia ipumuee
Andiko la kishamba sanaKama kesho ndio mnaandamana basi ratiba zangu ziko vizuri.
Wapumbavu tuu ndio wanaweza andamana wakati kina Mbowe wanakula ruzuku wao wanaambulia maneno 😁😁😁😁
Ila lenye ukweli 😆😆Andiko la kishamba sana
Haya mambo ni ya wanaume, wewe kampikie mumeo akirudi kwenye maandamano ale ili usiku akupe chanjo vizuriKama kesho ndio mnaandamana basi ratiba zangu ziko vizuri.
Wapumbavu tuu ndio wanaweza andamana wakati kina Mbowe wanakula ruzuku wao wanaambulia maneno 😁😁😁😁
Wanaume wapumbavu sio makiniHaya mambo ni ya wanaume, wewe kampikie mumeo akirudi kwenye maandamano ale ili usiku akupe chanjo vizuri
Lakini jioni akirudi unampanulia mapaja na kiwatilifu cha kibaiolojia anakuachia nani mpumbavu zaidi?Wanaume wapumbavu sio makini