Viongozi wa CHADEMA Wameanza kuingia Mbeya

Viongozi wa CHADEMA Wameanza kuingia Mbeya

Dr Slaa naye amefika

Screenshot_2024-02-19-13-27-25-1.png
 
View attachment 2908061

Ndio kama mlivyosikia , Tayari viongozi wa Chadema Wameanza kuingia Mbeya , ukiangalia Mbeya leo unaona kabisa kwamba kuna shangwe fulani zimeanza mitaani , watu ni wengi kiasi kuliko Jumapili nyingine .

Tayari Jeshi la polisi limeahidi kulinda Maandamano ya Chadema na wananchi na kwamba hali ya usalama itaimarishwa .

RATIBA KAMILI ya ruti za maandamano hayo hii hapa

Mbalizi - Ruanda Nzovwe

Uyole - Ruanda Nzovwe

Isanga - Ruanda Nzovwe

Sisi watoto wenu wa Chadema tumerudi nyumbani , tunawaomba sana Wazee wetu mtupokee na mtuunge mkono , Ndaga Fijo
Karibuni nyumbani wajukuu wangu,nimewaandalieni maparachichi na ndizi za kutosha,hamtalia njaa mkiwa hapa.🤓
 
Twisile twe bhanenu , bha tata na bha jhuba , abhalindwana na abhalumyana mtwambililege , Twisile kangi kukaja , tukuti ndaga Mutukunyike ni mbombo , ndaga ni njala iji bwatele abha ccm , po twisile ukujimalisya twe bhanenu uswe Chadema , tumenye ukuti abha ccm bhabhapitile fijo ukwandila ijolo , lelo uswe twisile na Kyala , twandile na Kyala tukumalisyaga na Kyala ugwa kumwanya
 
Samahani auntie kama nimekukwaza,ila mwambie mwanamke mwenzako asilete dharau kwa wanaume.
Ok, nimekupata chiefulicious , ha ha ha, wanaume wa mambo kifaragha!, kwa njia hii ndio katiba mpya itapatikana ha ha ha, game of intelegency!
 
Back
Top Bottom