Viongozi wa CHADEMA Wameanza kuingia Mbeya

Viongozi wa CHADEMA Wameanza kuingia Mbeya

RATIBA KAMILI ya ruti za maandamano hayo hii hapa

Mbalizi - Ruanda Nzovwe

Uyole - Ruanda Nzovwe

Isanga - Ruanda Nzovwe

Duh!

Si kutakuwa na msongamano wa magari sana, maana kwa routes hizo barabara itayokuwa busy ni hiyo ya Tanzam...
 
Duh!

Si kutakuwa na msongamano wa magari sana, maana kwa routes hizo barabara itayokuwa busy ni hiyo ya Tanzam...
Watu itabidi washuke kwenye magari na kuunga maandamano.

Wenye vitambi viwatoke.

Haiwezekani Lisu aandamane Kwa miguu, afu wananchi wasiandamane.

Maandamano ya Amani Yana Raha yake 😀
 
Watu itabidi washuke kwenye magari na kuunga maandamano.

Wenye vitambi viwatoke.

Haiwezekani Lisu aandamane Kwa miguu, afu wananchi wasiandamane.

Maandamano ya Amani Yana Raha yake 😀
Naam
 
Tayari Jeshi la polisi limeahidi kulinda Maandamano ya Chadema na wananchi na kwamba hali ya usalama itaimarishwa .[emoji173][emoji173][emoji173]
Haha polisi wameufyata, wanasema mama hatarbiriki, ile mikwara yao imeyeyuka
 
Tumeshauri gali za Matangazo zianze Kesho....amsha amsha...ili hata sisimizi wapate Taarifa

Kanda za Arusha zigawanywe..

Mrombo Olasitee Majengo Mbauda Kisongo Monduli tukutane Kona ya Mbauda ...kwa mrombo mkusanyiko unaweza kuanzia sokoni mrombo

Ngaramtoni na vitongoji vyake mguu kutokea ngara uzowe kwa Iddi na azimio sakina breki Tekiniko kuusubiri msafara wa Mrombo

Ilboru Elkidinga Mianzini tukutanee Mataa mianzini

Usa Tengeru Ngurero mguu kwa mguu tuwasombe sekei arumeru pale Novotel mafuriko yawasombe Sanawari breki Mianzini mataa kukutana na nyomi kuelekea Relini

Kijenge Mwanama chekereni njiro.....Impala

Ungalimitedi Dampo...

Sombetini....

Babati Kateshi Mbulu Karatu Loliondo Mto wa Mbu...Magharibi

Namanga Longido.....Kaskazini

Kiteto Simanjiro Naberera Kimotoro ...KUSIN

East Tanga Moshi

Arusha ITASIMAMA kishindo mpaka Kalema Mpanda
Mimi nitawasubili wanaotoka monduli pale duka bovu
 
Ikitoka Arusha waende dodoma waandamane kwenda viwanja vya bunge ujumbe ufike kwa spika, hii mbinu ya kuishia kufanya mikutano haitazaa matunda
 
Haha polisi wameufyata, wanasema mama hatarbiriki, ile mikwara yao imeyeyuka
Haikuwa rahisi

Screenshot_2024-01-18-22-15-01-1.png
 
Wewe humjui mwamba yule. Saa hizi kakodoa macho kwenye infinix yake anaandika uzi wa jinsi mama alivyowatoa watanzania machozi ya furaha kwenda Ethiopia baada ya kuzika tu[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Route 3 nadhani makutano Ruanda nzovwe,wa Uyole na Mbalizi mpaka "soli" za viatu ziwaishie,vilio vikuu ni vitatu tu umeme,nauli na sukari vilivyo ndani ya begi liitwalo "UGUMU WA MAISHA"
Mna hoja tatizo maandamano kuwatumia wanasiasa.
 
Back
Top Bottom