imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,436
Haina kilevi inafaa sana kwenye mwezi huu wa Ramazani.Do ngoja nimuulize shee wangu leo kabla ya kufuturu nisije pata kizunguzungu bure ,maana za kuambiwa changanya nazako
Haina kilevi inafaa sana kwenye mwezi huu wa Ramazani.Do ngoja nimuulize shee wangu leo kabla ya kufuturu nisije pata kizunguzungu bure ,maana za kuambiwa changanya nazako
TakbiiiirrrHaina kilevi inafaa sana kwenye mwezi huu wa Ramazani.
Kila la kheri Viongozi wetu wapya.
uchawa ukizidi uzaa kubanduliwaHuko ni Act na CCM hakuna nafasi kwa watembeza mabakuli!
Huyu sie ndiye anaemsema Raisi kuwa hana jambo sababu niBaada ya kumaliza mazungumzo yenye Mafanikio Makubwa na Ubalozi wa Marekani, Viongozi wa Chadema mchana huu Wameingia Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
View attachment 3278770
Mambo ni mengi sana ila muda ni mchache.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi.
======
Kazi imeanza Rasmi, Pichani Maalim Tundu Lissu akiwa kazini Zanzibar
View attachment 3278854
Tapeli la kisiasa Hilo.Wanachama wake hawajajiandikisha atashinda vipi uchaguziBaada ya kumaliza mazungumzo yenye Mafanikio Makubwa na Ubalozi wa Marekani, Viongozi wa Chadema mchana huu Wameingia Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
View attachment 3278770
Mambo ni mengi sana ila muda ni mchache.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi.
======
Kazi imeanza Rasmi, Pichani Maalim Tundu Lissu akiwa kazini Zanzibar
View attachment 3278854
Wengi wanaojiandikisha ni wale wanaohitaji hicho kitambulisho kwa koneksheni nyingineTapeli la kisiasa Hilo.Wanachama wake hawajajiandikisha atashinda vipi uchaguzi
Do election matter in Zanzibar? By Prof. Kilian, B.Huko ni Act na CCM hakuna nafasi kwa watembeza mabakuli!
Unaumia unateseka huu mwaka Trump mtamwita baba....Huko ni Act na CCM hakuna nafasi kwa watembeza mabakuli!
Hiyo ndio demokrasia, aliye tayari kujiunga na team ya mabadiliko anakaribishwa, asiye tayari uamuzi wake unaheshimiwa.Huko ni Act na CCM hakuna nafasi kwa watembeza mabakuli!
Hizi anapiga Malaria 2 mwezi akifungulia anarudi kwenye kinywaji chake pendwa K Vant kubwa na mbavu za kitimoto.View attachment 3278865
Hii hata futari inashuka vizuri.
Allah Akbar!!!Takbiiiirrr
Chadema safe yote ya juu ni wakiristo watupu. Wanavaa kanzu kuwazuga waislam
Sasa unalia nini?Chadema safe yote ya juu ni wakiristo watupu. Wanavaa kanzu kuwazuga waislam
Hatimae tone tone za pesa kidigitali zamvalisha Heche suti, huku akiwa na uhakika wa posho na pesa kwajili ya ya kubeti dah!🐒
wazee wa drama ni wanafiki hao balaa 🐒Chadema safe yote ya juu ni wakiristo watupu. Wanavaa kanzu kuwazuga waislam
Mjiandikishe kwa wingi mkapige kura oktoba mkaoneshwe kilicho mtoa kanga manyoya....khwiyooo...tumeibiwa!Hiyo ndio demokrasia, aliye tayari kujiunga na team ya mabadiliko anakaribishwa, asiye tayari uamuzi wake unaheshimiwa.
Wazanzibari wana akili sana kuliko Waangola! Hawakufukuzi lakini.......! Ahahahahaha!Baada ya kumaliza mazungumzo yenye Mafanikio Makubwa na Ubalozi wa Marekani, Viongozi wa Chadema mchana huu Wameingia Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
View attachment 3278770
Mambo ni mengi sana ila muda ni mchache.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi.
======
Kazi imeanza Rasmi, Pichani Maalim Tundu Lissu akiwa kazini Zanzibar
View attachment 3278854