Viongozi wa CHADEMA waingia Zanzibar

Viongozi wa CHADEMA waingia Zanzibar

Baada ya kumaliza mazungumzo yenye Mafanikio Makubwa na Ubalozi wa Marekani, Viongozi wa Chadema mchana huu Wameingia Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku moja.

View attachment 3278770

Mambo ni mengi sana ila muda ni mchache.

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi.
======
Kazi imeanza Rasmi, Pichani Maalim Tundu Lissu akiwa kazini Zanzibar

View attachment 3278854
Pamoja na matusi na kashfa zote kwa wazanzibari

Kweli do mnoKaya hana haya….
 
Back
Top Bottom