Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,227
- 12,953
Mh Halima mdee na wenzake walio kamilishiwa taratibu za faini wameendelea kusota katika gereza la Segerea kwa kile kinachodaiwa mkuu wa gereza kuwepo kwenye kikao.
Hata hivo Mwananchi ilifanikiwa kutia timu katika viunga hivyo vya gerezani na kubaini kuwa wanasheria walifika segerea saa 11:30 jioni ambapo muda wa kazi ulikuwa umeisha.
Chanzo:- Mwananchi
Hata hivo Mwananchi ilifanikiwa kutia timu katika viunga hivyo vya gerezani na kubaini kuwa wanasheria walifika segerea saa 11:30 jioni ambapo muda wa kazi ulikuwa umeisha.
Chanzo:- Mwananchi