jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,390
- 25,510
Kwahiyo mkuu wa gereza alikuwa kwenye kikao wakati muda wa kazi umekwisha?Mh Halima mdee na wenzake walio kamilishiwa taratibu za faini wameendelea kusota katika gereza la Segerea kwa kile kinachodaiwa mkuu wa gereza kuwepo kwenye kikao.
Hata hivo Mwananchi ilifanikiwa kutia timu katika viunga hivyo vya gerezani na kubaini kuwa wanasheria walifika segerea saa 11:30 jioni ambapo muda wa kazi ulikuwa umeisha.
Chanzo:- Mwananchi