Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ila watu kama wasira ni wakuondoa kwenye system, na watu waliochoka ningetamani hata kama ni ccm nione damu changa type ya kina mwigulu..huko bunda embu fanyeni mambo mtoondolew wazee kama hawa..
Wasira amechoka sana,yeye kazi yake ni kulala usingizi bungeni amechoka akili na umri