sijawahi kutoka nje ya TZ,
ndo mara ya kwanza nimekuja INDIA, jimbo la Tamil Nadu, mji wa Chennai.
Nina miezi sita mpaka sasa, kwa kweli mametuzidi maendeleo sana.
Sitaki kuilinganisha tanzani na india ila kuna mambo ya msingi ya ambayo naamini hata sisi tunaweza.
Kama usafiri.
Kwa asilimia kubwa serikali ndo inamili na kusimamia usafiri wa uma.
Bei ya mafuta haitofautiani sana na tanzania,
kwa Rupee 50 sawa na Tsh.(1500-1600) napewa ticket ya kusafiri popote ndani ya jiji kwa siku moja.
Na mengine mengi ambayo tanzania tunayawezi kama kumthamini mwalimu na elimu pamoja miundombinu.
Je viongozi wetu wakija huku wanang'olewa macho au wanakuwa vipofu.
Alipokuwa amelazwa naibu waziri wa ujenzi nje kuna fylover ambayo kama hiyo inahitajika ubungo!
tafakari
ndo mara ya kwanza nimekuja INDIA, jimbo la Tamil Nadu, mji wa Chennai.
Nina miezi sita mpaka sasa, kwa kweli mametuzidi maendeleo sana.
Sitaki kuilinganisha tanzani na india ila kuna mambo ya msingi ya ambayo naamini hata sisi tunaweza.
Kama usafiri.
Kwa asilimia kubwa serikali ndo inamili na kusimamia usafiri wa uma.
Bei ya mafuta haitofautiani sana na tanzania,
kwa Rupee 50 sawa na Tsh.(1500-1600) napewa ticket ya kusafiri popote ndani ya jiji kwa siku moja.
Na mengine mengi ambayo tanzania tunayawezi kama kumthamini mwalimu na elimu pamoja miundombinu.
Je viongozi wetu wakija huku wanang'olewa macho au wanakuwa vipofu.
Alipokuwa amelazwa naibu waziri wa ujenzi nje kuna fylover ambayo kama hiyo inahitajika ubungo!
tafakari