Dube: Viongozi wa Azam wanashabikia timu mnayocheza nayo

vvvv

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
336
548
Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam

Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.

NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
 
Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam

Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.

NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
 
Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam

Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.

NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
afadhali dube katema ukweli...ni muda sasa mzee bakhresa kuuza hii timu,biashara ya mpira mbele ya simba na yanga ni ngumu mno
 
Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam

Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.

NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.

Hapa Bongo karibu watu wote timu zao za kwanza ni Simba au Yanga, baada ya hapo ndio zitafuata hizo nyingine...
 
Akihojiwa Dube ameeleza kwamba ndani ya timu wapo viongozi wanaoshabikia timu zingine mnaocheza nao nje ya Azam

Anaeleza kwamba mnapocheza viongozi wanasupport timu mnayocheza nayo, anasema bora aende sehemu ambayo watu wote ndani ya timu wanafikiria na kuwaza kitu kimoja.

NB: Azam kwa mtindo huu wasahau mafanikio makubwa.
Kumbe

Aahaaaaa

Usimba na Uyanga utatumaliza
 
Dube aache ushamba,mbona haj8 manara ni mnyama ila yupo yanga
Mboni Ahmed Ally ni Yanga Ila yupo Simba? Anachekea CHOONI Jana ulifikiri analia hapo hio inaitwa anachekea CHOONI
20240306_182453.jpg
 
Sasa shida iko wapi wakati yeye ni mchezaji anatakiwa kufanya majukumu yake na hao viongozi wanafanya majukumu yao.
Mbona marefa tunawajua timu zao na bado wanasimamia majukumu yao.
Huyu Dubu sijui Dube ana matatizo yake binafsi hvy anatengeneza story ili aende huko aliponunuliwa.
 
Back
Top Bottom