KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Acha unafiki na umbea wako, Dr Slaa ameshafunga ndoa rasmi na J. Mushumbusi.
Acha unafiki na umbea wako, Dr Slaa ameshafunga ndoa rasmi na J. Mushumbusi.
Mzee hizi taarifa mpya, lini hiyo? Dr. Mzinzi yule kaoa! Sikia wakware wenzake watamtetea. Ukibisha nukuu na aya au mistari ya vitabu vya dini, usilete busara za kilevi. Dr. Slaaaa Mzinzi nz mwesherati. Aje kwa Gwamanya
Mzee hizi taarifa mpya, lini hiyo? Dr. Mzinzi yule kaoa! Sikia wakware wenzake watamtetea. Ukibisha nukuu na aya au mistari ya vitabu vya dini, usilete busara za kilevi. Dr. Slaaaa Mzinzi nz mwesherati. Aje kwa Gwamanya
Mi nimetupa jiwe gizani kama kawaida yangu..unao ushahidi japo wa picha,maana hizi picha zilipigwa zimbabwe lakini tunaziona mpaka tanzania
Hapo kwenye ushahidi wa picha, mhhhhh !! Angalia sana ... Maana....
Mhhh !! Mambo ya picha, Mhhh !!! na ushahidi wa picha Mhhh !! Jamaa wameungana... mikono yao ime ......
Mzee hizi taarifa mpya, lini hiyo? Dr. Mzinzi yule kaoa! Sikia wakware wenzake watamtetea. Ukibisha nukuu na aya au mistari ya vitabu vya dini, usilete busara za kilevi. Dr. Slaaaa Mzinzi nz mwesherati. Aje kwa Gwamanya
Mbona umeshindwa kumtaja unayemkusudia?
Naomba nikutajie basi!
Unamaanisha Slaa aka padri lol!
Wewe na nani mnataka??tunata picha ya kiongozi wa upinzani ambae tunamtaka afuate nyayo za mpinzani mwenzake wa zimbawe hapana hii meshimiwa rais wetu na mrembo anaeitangaza vyema nchi yetu
tunata picha ya kiongozi wa upinzani ambae tunamtaka afuate nyayo za mpinzani mwenzake wa zimbawe hapana hii meshimiwa rais wetu na mrembo anaeitangaza vyema nchi yetu
Ila hatujaziona picha zake (JK) za harusi. Sasa, unaweza kusema kuwa una wasiwasi kama jamaa (JK) ameoa au ??
Hebu weka hapa picha za harusi za JK tuzione ??
Vinginevyo, na yeye pia ni kama ulivyosema kweye post zako za hapo juu..!! (kwamba umetupa jiwe gizani ..) !!