Thegreatcardina
JF-Expert Member
- Mar 29, 2009
- 406
- 178
1. Naombeni kujuzwa, hivi kwenye Hotuba za viongozi wa nchi hii ni lazima kutaja majina ya wakuu wote waliohudhuria??
2. Hivi Hotuba si zinapaswa kuendana na tukio lililokusanya hadhira? Leo ni sikukuu ya wakulima, why mtu anachukua muda mwingi kuongea yaliyo nje ya sherehe?
3. Na mwisho, hivi mtoa Hotuba hawezi kuwa na mada mbili au tatu hivi akaziongea kwa kina? kuliko ambavyo tunaona watoa Hotuba wanavyoimba maneno mengi na mwisho wa Hotuba hatuelewi alikuwa anafikisha ujumbe upi.
Naombeni mnifunze mnaojua..
2. Hivi Hotuba si zinapaswa kuendana na tukio lililokusanya hadhira? Leo ni sikukuu ya wakulima, why mtu anachukua muda mwingi kuongea yaliyo nje ya sherehe?
3. Na mwisho, hivi mtoa Hotuba hawezi kuwa na mada mbili au tatu hivi akaziongea kwa kina? kuliko ambavyo tunaona watoa Hotuba wanavyoimba maneno mengi na mwisho wa Hotuba hatuelewi alikuwa anafikisha ujumbe upi.
Naombeni mnifunze mnaojua..