ENANTIOMER
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 1,419
- 804
kua chini ya CWT ni miskosi kabisa. Leo viongozi wa madaktari wametema cheche kukupiga stop ulahifu wa wakuu wa mikoa na wilaya kuawakamata na kuwatia rumande madakatari bila kufuta sheria. kamkuu ka mkoa kameota pumba, kanaamka na kuagiza dakatari awekwe rumande. upuuzi huu.
CWT wapuuzi sana nyinyi, kwanini nyinyi mko kimya? Bashite tu kila siku anajiteteaa kuhusu kufoji cheti, ila nyinyi utadhani mmezibwa midomo🙁
CWT wapuuzi sana nyinyi, kwanini nyinyi mko kimya? Bashite tu kila siku anajiteteaa kuhusu kufoji cheti, ila nyinyi utadhani mmezibwa midomo🙁