Kabuche1977
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 564
- 225
huyu mama watamuuwa kwa bp maana bunge la safari hii ni hatari sana lina watu makini vibaya sana.....hivi Sitta yupo ukumbini kweli?
kamanda yupo Bungeni kama kawa, na nyeti nilizopata ni kuwa ile kura iliyoharibika jana kwenye kumteua huyo mama, jamaa kura yake iliharibika, katoa somo already, siasa za mkuu wa kaya ni za visasi kweli, sijui tunaelekea wapi.