ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,979
- 3,919
Pale mtu anapovimbiwa, akili na fahamu huwa zinahama kabisa.Turejee Kwa Hawa wachezaji wawili ambao mmoja anatokea Kwa mabingwa wa ulaya Real Madrid na mwingine anatokea Kwa bingwa wa TAnzania Young African...
Upo serious au unatania? Kama upo serious basi haujui mpira labda kama ni uzi wa utaniTurejee Kwa Hawa wachezaji wawili ambao mmoja anatokea Kwa mabingwa wa ulaya Real Madrid na mwingine anatokea Kwa bingwa wa TAnzania Young African...
Tumeshindanishahii comparison haiko fair kabisa
Yani kwamba sijakuelewa, kuna tofauti gani, kwani hujui mayele ni mkali kuliko weirghostMi ni Yanga ila kwa akili hizi nyie ndo mnafanya tunatukanwa
Upuuzi.Turejee Kwa Hawa wachezaji wawili ambao mmoja anatokea Kwa mabingwa wa ulaya Real Madrid na mwingine anatokea Kwa bingwa wa TAnzania Young African...
Azam ndo wametuletea huu ujinga zaman tulikuwa tunaangalia hz game husikii uchafu uchafu kama huuTatizo la afya ya akili, kufananisha mchezaji wa UEFA na upuuzi
Ni ujinga ujinga tu.hii comparison haiko fair kabisa