vingamuzi vinavy0rek0di

vingamuzi vinavy0rek0di

MR. DRY

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2011
Posts
637
Reaction score
122
Wanab0di

Mimi nina kingamuzi cha Azam TV,huwa narek0di mpira sana hasa ligi ya VPL sasa nikichukua flash yangu kwenda kuangalia kwenye k0mputa lile file halifunguki!je f0rmat inay0tumika kwenye kingamuzi haingiliani na k0mputa?
Je inawezekana ku-c0nvert hiy0 f0rmat ili ni0ne kwenye k0mputa?
Hay0 tu.
 
ukichomeka kwenye computer herufi 3 za mwisho zisome halafu zilete hapa
 
ukichomeka kwenye computer herufi 3 za mwisho zisome halafu zilete hapa

mkuu hizo herufi tatu unamaanisha format yake au nini? kama file format ni PVR hata mimmi nilijaribu nikachemsha
tupe msaada wako
 
ukichomeka kwenye computer herufi 3 za mwisho zisome halafu zilete hapa

#chief hiz0 herufi ni jina la file?maana nikiweka inakuwa nyeupe then inafanana na kama bahasha,sasa ungenisaidia hiz0 namba 3 nizit0e wapi?
 
kutokana na source mbali mbali online. pvr vlc inaplay hayo mafile je mshajaribu?


pia video converter mbali mbali zinaweza kuconvert na kuja mafile ya kawaida munaweza kujaribu ya freemake au total video converter.

mwisho kabisa inawezekana data zikawa encrypted sababu kurekodi baadhi ya show kwenye tv halafu kuzisambaza kwa watu hairuhusiwi inawezekana zikawa zinaruhusiwa kuplay kwenye dekoda yako tu.
 
kutokana na source mbali mbali online. pvr vlc inaplay hayo mafile je mshajaribu?


pia video converter mbali mbali zinaweza kuconvert na kuja mafile ya kawaida munaweza kujaribu ya freemake au total video converter.

mwisho kabisa inawezekana data zikawa encrypted sababu kurekodi baadhi ya show kwenye tv halafu kuzisambaza kwa watu hairuhusiwi inawezekana zikawa zinaruhusiwa kuplay kwenye dekoda yako tu.

Wabongo swala piracy watu hawaju au awaogopi?. Watu wa Azam TV Conditonal Access Systems watakuwa vilaza
 
Wanab0di

Mimi nina kingamuzi cha Azam TV,huwa narek0di mpira sana hasa ligi ya VPL sasa nikichukua flash yangu kwenda kuangalia kwenye k0mputa lile file halifunguki!je f0rmat inay0tumika kwenye kingamuzi haingiliani na k0mputa?
Je inawezekana ku-c0nvert hiy0 f0rmat ili ni0ne kwenye k0mputa?
Hay0 tu.

mkuu hebu tiririka jinsi ya kurecord wale vimeo walionifungia mimi walizingua.
 
#nynyambichi kwmye kingamuzi cha azam,
Ch0meka flash kwenye dec0der(shim0 lip0 nyuma)
Kwenye rim0ti kuna sehemu ina0nyesha REC,b0nyeza halafu kwenye screen yak0 kuna alama ita0nyesha inarec0rd,basi hap0 umefanikiwa kurec0rd
File ulil0rec0rd litakuwa kwenye flash yak0.
All da best
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom