MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Wanab0di
Mimi nina kingamuzi cha Azam TV,huwa narek0di mpira sana hasa ligi ya VPL sasa nikichukua flash yangu kwenda kuangalia kwenye k0mputa lile file halifunguki!je f0rmat inay0tumika kwenye kingamuzi haingiliani na k0mputa?
Je inawezekana ku-c0nvert hiy0 f0rmat ili ni0ne kwenye k0mputa?
Hay0 tu.
Mimi nina kingamuzi cha Azam TV,huwa narek0di mpira sana hasa ligi ya VPL sasa nikichukua flash yangu kwenda kuangalia kwenye k0mputa lile file halifunguki!je f0rmat inay0tumika kwenye kingamuzi haingiliani na k0mputa?
Je inawezekana ku-c0nvert hiy0 f0rmat ili ni0ne kwenye k0mputa?
Hay0 tu.