Vinara wa kueneza Udini Tanzania

Vinara wa kueneza Udini Tanzania

Status
Not open for further replies.
Mnavyozungumza kuwa fulani anachochea udini bila kuelezea anachocheaje,inawezekana nyinyi wenyewe ndio wachochezi.
 
Keen, unauhakika na hilo unalosema? Yaani unataka kunambia kwenye hiyo orodha ya Uyole12 huyu ndugu anatakiwa awe namba 1!!

Hapana, bado kidogo kuamini hebu dadavua kidogo ni kwa nini awa #1 ?
chanzo cha udin tanzania ni pale 2010 alipogombea PADRE SILAA .
Ushauri katiba ijayo isiruhusu msalit yeyte wa din kigombea nafas ya urais.
 
Marehemu Ilunga ndio wa kuangaliwa sana. Kama maiti yake itaachwa kuendelea kuzungumza the way it does, soon tutakuwa tabuni, kwani audience yake si yenye ufahamu
 
Baadhi ya mods wanaocha mada za Kipuuzi puuzi hapa JF

Mkuu nakuunga mkono, kuna vijitu vina zani hapa ni FB. Kwakweli inachosha kusoma pumba ( kama post hii )
 
Mtoa post unge kua karibu yangu ninge kukojolea zinga la kojoooooo! Nya mpaf.
 
chanzo cha udin tanzania ni pale 2010 alipogombea PADRE SILAA .
Ushauri katiba ijayo isiruhusu msalit yeyte wa din kigombea nafas ya urais.

Upumbavu ukiwa sehemu ya maisha ya mwanadamu, mwanadamu huyo huwa duni kimaisha na kijamii. Dr.Slaa sio Padre, na kama alimsaliti mama yako si jambo la kutulazimisha na wengine tulichukulie kwa mtazamo huo.
 
Kama hamna CHADEMA na JF kwenye hii orodha basi THREAD ifungwe
 
Kwangu mie nyeupe ni nyeupe, nyeusi ni nyeusi. Nitasema ukweli hakuna mtu wa kumwogopa!

N
ajua chloroquine chungu lakini INATIBU leo nitatoa orodha ya baadhi ya watu na RADIO mbalimbali ambazo zinaongoza kwa kueneza udini Tanzania sijajua kama wanajitambua au wanafanya makusuudi.

Asilimia kubwa ya watu wanapatikana Chama cha mapinduzi yani CCM nadhani ndo dhana ile inaendelea ya watu wenye makosa kujificha CCM nina maana Mauzaji wa pembe za ndovu, Mafisadi wote wapo CCM, Wauza unga aka dawa za kulevya wote CCM.

Watu binafsi.
1. Shekhe ponda(Yupo jela now)
2. Nape Nnauye (CCM)
3. Shekh Isango (Radio Iman)

4. Juliana Shonza(CCM)
5. Mtela Mwampamba(CCM)
6. Shekhe Ilunga (MWANZA)
5. Mwigulu Nnchemba

RADIO zinazoongoza kusambaza udini tanzania ni Kama zifuatazo:
1. Radio Iman
2. Clouds Fm (Hawa wanaongoza kwa kutoa air Time kwa watu wanaoeneza udini Tanzania)
3. Radio Uhuru (CCM inahusika moja kwa moja na hii radio kwa kutoa air time kwa hawa watu wanaoeneza udini Tanzania)

Kama kuna mtu anazani kuna mtu anatakiwa kuongezwa au Radio inayotakiwa kuingizwa kwenye hii list ya waeneza udini Tanzania unaruhusiwa kuongeza. Nimeamua kuwataja ili watanzania kwa umoja wetu tuwakemee hawa watu na Taasisi zinazoeneza udini [SIZE=4]Tanzania kwa nguvu zote bila kuchoka.

Hatuwezi kuwaacha watu wakawa wanendelea kueneza[SIZE=4] udini nasi tunawachekelea kama serikali imeshindwa kuwad[SIZE=4]hibiti basi ni zamu yat[SIZE=4]u watanzania tusiopenda udini kuwakemea hawa watu kwa [SIZE=4]nguvu zetu zote.

[SIZE=4][SIZE=4][SIZE=4]Tumechoka kuona M[SIZE=4]akanisa yakichomwa moto, Mapadre wakiuwawa[SIZE=4], Mashekhe waki[SIZE=4]mwagiwa t[SIZE=4]indikali etc kwa sababu ya hawa watu tusimame [COLOR=#000000]Tuwakemee[/COLOR]
[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE]
[/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE][/SIZE]
na shangaa umeacha radio NEEMA FM iliyosababisha watu kufa kule buseresere. ilitakiwa ndo iwe ya kwanza. kwani hii ni vivid examples kulio hao wakufikiika ulioweka.
 
Chadema, JF, Padre wetu, MoU, Radio Maria, Mfumo.....viongeze katika hiyo list.
 
Nakumbuka mwaka jana, nilihudhuria mkutano wa ccm pale jangwani, Steven Wasira alitamka kuwa cdm ni chama cha kidini {ukriso} na dr slaa ni padre akahubir injiri baadaye vuvuzera {nape} akaja akakazia. wakiwa na dhumuni kujengewa chuki dr na cdm pasi na kujua wanafanya hivo ukristo uchukiwe.

kwa upande wangu WASIRA & NAPE wamechangia kwa kiasi kikubwa udini tz. lets stop them by overthraw xcting part {ccm} ndicho kinacholea uovu huu.
 
Hapa lazima mkuu wa kaya JK anashika chati.. coz kwenye jukwaa anakemea ila behind the scene anapractise na anawaachia wahuni wachache waharibu misingi ya dini zetu..
 
Hapa lazima mkuu wa kaya JK anashika chati.. coz kwenye jukwaa anakemea ila behind the scene anapractise na anawaachia wahuni wachache waharibu misingi ya dini zetu..

Nyerere #1
 
Naongezea mkuu uyole12
  1. Maalim seif sharif
  2. jakaya mrisho kikwete
  3. kamanda kova
  4. mkuu wa usalama wa taifa tena huyu ndo no 1.
 
kicheka na kima mabua utavunana...serikali ya sasa...kumbuka ile kitu ya mwembe chai chini ya braza Ben na swaiba wake Mahita...kweli waliweza...sasa ni hatari sijui..wacha tuone hao CIA na KGB nao!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom