Vimini vimeadimika

Vimini vimeadimika

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,102
Reaction score
828,983
Dengue ni noma, imebadilisha maisha ya uvaaji ghafla, siku hizi ni vigumu mno mitaani kukuta watu wamevaa vimini, pedo na mapensi, kila mu anamwogopa mbu aambukizaye dengue. Fasheni sasa ni nguo ndefu, dengue ni ugonjwa mbaya lakini umesaidia mno kuwaadabisha wengi
 
Dengue ni noma, imebadilisha maisha ya uvaaji ghafla, siku hizi ni vigumu mno mitaani kukuta watu wamevaa vimini, pedo na mapensi, kila mu anamwogopa mbu aambukizaye dengue. Fasheni sasa ni nguo ndefu, dengue ni ugonjwa mbaya lakini umesaidia mno kuwaadabisha wengi

Chezea dengue ww ImageUploadedByJamiiForums1400215342.824543.jpg


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Hapana chezea DENGUE..
Kila kitu kina faida na hasara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom