Vimimika vya mwili, zana mahiri za mvuto

Vimimika vya mwili, zana mahiri za mvuto

rubii,
Kama unamruhusu kuzama uvinza, iweje kumwekea "katone" tu, tena sometimes ni wewe uchovye njiti ya kiberibi kuleee, halafu ndo ukorogee kwenye birika nzima ya chai iwe nongwa? Kumbuka, mshana jr hajakuambia umwekee kikombe kizima. Soma taratiib tu utaelewa.
Lakini rubii, wanasemaga kuwa ukiona wale wanaoruka kimanga, mara nyingi ndio hao hao mafundi stadi wa hiyo kitu. Je, umo??
 
Kaka mshana ningependa kuuliza je haiwezekani kutengua hizo dawa hadi makali yake yaishe namaanisha una ndugu wa kiume tayar alikua na mke na watoto lakin bahat mbaya ukaona tayar kashakamatwa na nyumba ndogo kaitelekeza family je kuikoa family yake hakuna njia mbadala ya kumrudisha
 
Kaka mshana ningependa kuuliza je haiwezekani kutengua hizo dawa hadi makali yake yaishe namaanisha una ndugu wa kiume tayar alikua na mke na watoto lakin bahat mbaya ukaona tayar kashakamatwa na nyumba ndogo kaitelekeza family je kuikoa family yake hakuna njia mbadala ya kumrudisha
Maranyingi huhitaji ushirikiano wa mhanga kwakuwa yeye ndio mlengwa lakini hebu niambie nanawoo mtu amekamatwa akakamatika utaanzaje kumwambia? Haya mambo huwa ni magumu sana
Unaweza kujitoa mhanga na ukakubali kugombana na ndugu yako kwa muda na shemeji yako pia ili mambo yaweze kurekebishika
 
Mara nyingi ni mpaka nguvu ya dawa iishe

Mkuu, sasa kama aliyefanyiwa huo uzezeta ni mwanamke, na yote hayo amefanyiwa na mganga wa kienyji ili amsahau mwanaume wake. Swali ni jee, dawa itaishaje hapa? Wakati amefanyiwa na mkulu mwenyewe, kila dawa ikiisha nguvu ana-renew tu.
 
Mkuu, sasa kama aliyefanyiwa huo uzezeta ni mwanamke, na yote hayo amefanyiwa na mganga wa kienyji ili amsahau mwanaume wake. Swali ni jee, dawa itaishaje hapa? Wakati amefanyiwa na mkulu mwenyewe, kila dawa ikiisha nguvu ana-renew tu.
Mmh hakuna lenye mwanzo lisilokosa mwisho... hao waganga wenyewe hufikia mahali wakakosea masharti
 
Karibu. ..!
Asante kwa elimu yako.
Naomba nitoke nje kidogo ya mada.

Inawezekana mtu akafanyiwa vitu asiweze kumuingilia mwanamke??
Awe akifika tu mlangoni anatema na kuanguka?
Je anawezaje kurudi katika hali yake mtu huyu?
Je ni tatizo la kisakolojia,kiafya au kiimani?
Naomba uzungumzie kiimani zaidi.
Kisaikolojia na kiafya nishapata majibu mengi.


Je,haya mambo yanafanywa sana na makabila yapi?

Msaada wako tafadhali!
Asante!
 
Maranyingi huhitaji ushirikiano wa mhanga kwakuwa yeye ndio mlengwa lakini hebu niambie nanawoo mtu amekamatwa akakamatika utaanzaje kumwambia? Haya mambo huwa ni magumu sana
Unaweza kujitoa mhanga na ukakubali kugombana na ndugu yako kwa muda na shemeji yako pia ili mambo yaweze kurekebishika
Ndg. Mshana, kufanyiwa hayo yote na kukamatika bado haizidi nguvu za Mungu.

So, MAOMBI/ DUA ya kumaanisha ni suluhisho hata kama angelishwa uchafu wa aina gani.

Ukienda tu kumwambia kwa mdomo mtagombana kwsbb yeye hajui kama kafanywa hivyo na kumbuka atakuwa na mapenzi sanaa kwa aliyemlisha.

But Deliverance Prayers Works.

Nina ushahidi na hilo.
 
Ndg. Mshana, kufanyiwa hayo yote na kukamatika bado haizidi nguvu za Mungu.

So, MAOMBI/ DUA ya kumaanisha ni suluhisho hata kama angelishwa uchafu wa aina gani.

Ukienda tu kumwambia kwa mdomo mtagombana kwsbb yeye hajui kama kafanywa hivyo na kumbuka atakuwa na mapenzi sanaa kwa aliyemlisha.

But Deliverance Prayers Works.

Nina ushahidi na hilo.
Nakubaliana nawe kabisa na kwakweli sikuzingatia hicho kipengele
 
Asante kwa elimu yako.
Naomba nitoke nje kidogo ya mada.

Inawezekana mtu akafanyiwa vitu asiweze kumuingilia mwanamke??
Awe akifika tu mlangoni anatema na kuanguka?
Je anawezaje kurudi katika hali yake mtu huyu?
Je ni tatizo la kisakolojia,kiafya au kiimani?
Naomba uzungumzie kiimani zaidi.
Kisaikolojia na kiafya nishapata majibu mengi.


Je,haya mambo yanafanywa sana na makabila yapi?

Msaada wako tafadhali!
Asante!
Ndio hayo mambo yapo kwa mitazamo miwili au mitatu
1. Kufanyiwa na mwizi wako..ili mkeo akuone huwezi
2. Kufanyiwa na mtu mwingine yoyote mbaya mwenye chuki binafsi nawewe nia ikiwa ni kukutia aibu
3. Mke wako kuingiliwa na jini ..jini hapendi kushare hivyo atakufanya ushindwe kufanya
Tiba zipo za aina mbalimbali za kiroho kama maombi na za nguvu za giza...hebu ngoja nipate msaada wa jichawi na Mtu mzito kwenye hili
 
Back
Top Bottom