Hawa wamevaa bomba tu....tatizo hivyo vishanga vya mguuni....niliwai sikia ufaransa ukivaa hvyo unamaanisha wewe ni msagaji...but sijaifanyia utafiti sana...kama kuna mtu anazodata kamili anipe...........
Hivi hawa wabunge au wasagaji? Uvaaji huu hasa kuvaa vimikufuu hadi miguuni ni uhuni na uvaaji wa machangudoa. Ndo tatizo la viti vya upendeleo kwa wanawake kila mtu anaaingia bungeni wanaaishi kuchukua posho tu hakuna chochote wanacho changia .
Pumbavu zao wanakula ela zetu tu