Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Huku tukiendelea na sekeseke la awali kuhusu vifaa vilivyoexpire, eebwana kuna hii nyingine.
Sijui ni wapi.
Sijui ni wapi.
Ni video ya hukohuko Tabora,yaani ni walewale walikuwa wakiendeleaHuku tukiendelea na sekeseke la awali kuhusu vifaa vilivyoexpire, eebwana kuna hii nyingine.
Sijui ni wapi.
View attachment 2479390
Mama anaupiga mwingi na madawa tasiyofaaHuku tukiendelea na sekeseke la awali kuhusu vifaa vilivyoexpire, eebwana kuna hii nyingine.
Sijui ni wapi.
View attachment 2479390
Washenzy sana watu hawana kazi mtaani wao wao wako busy na singeli wakat wanawake wanajifungulia kordoni...nikajua ni bar kumbe kituo cha Afya, mziki mnene
kuna mambo yana udhi sanaWashenzy sana watu hawana kazi mtaani wao wao wako busy na singeli wakat wanawake wanajifungulia kordoni...
Hii nchi aliiweza magufuli tuu
Hapo palikua na mwanamke anataka kujifungua wakamwa galia tu!!!?..nyi watu mbona mna manung'uniko!!..hameni nchi Kama mnaona tz haifaiWashenzy sana watu hawana kazi mtaani wao wao wako busy na singeli wakat wanawake wanajifungulia kordoni...
Hii nchi aliiweza magufuli tuu
Hapo palikua na mwanamke anataka kujifungua wakamwa galia tu!!!?..nyi watu mbona mna manung'uniko!!..hameni nchi Kama mnaona tz haifai
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimestuka kuona mijitusi mizito....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna lofa huko juu amepanikii kisa koment yangu.
Atajua hajui..Nimestuka kuona mijitusi mizito....
Ndo hivyokuna mambo yana udhi sana
Umepost jf,hatu-quotiani kindugu humuSijakuquote wewe
Tunaendelea kuwatumikia watanzania...Atajua hajui..
Me huyoooo nshatema sumu nasonga.
Heri ya mwaka mpya philosopher